RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,719
- 107,833
nataka jina la ambayo haina alcohl
hiyo uliyoitaja hapo juu inapataika wap
https://www.google.co.tz/?gws_rd=cr,ssl&ei=xOWYVer2CoP5ygOu-JDIAQ#q=alcohol+free+perfume
nataka jina la ambayo haina alcohl
hiyo uliyoitaja hapo juu inapataika wap
sipendi zenye strong scent am not sure kama zipo
zenye harufu iliyopoa sana
na je kuna ambazo hazina alc by any chance?
jamani msaaada za wanawake zinazomtoa nyoka pangoni ni zipi
Kwasababu mimi nazijua ndio maana nikakwambia JD Pharmacy wanauza original, nanda JD ya mlimani city au masaki village walk opposite sea cliff village.
Huyu sio mnunuaj mkuuu
Chance by Chanel........au Coco Noir by Chanel pia..........ila zina alc......lakini zinanukia vizuri........la vie est belle by Lancôme...........
Chance by Chanel........au Coco Noir by Chanel pia..........ila zina alc......lakini zinanukia vizuri........la vie est belle by Lancôme...........
Elle by YSL ni nzuri imepoa
okeu
ngoja ni screenshot nitaitafuta
alafu mara ya mwisho nimekuona kwenye uzi wa cologne mwaka jana haha
za masiku
nime click hapo naona inaniletea peji ya google
kwani ukinielekeza duka sehem flani au
Jinsia yako!
Wote mnadanganya hapa, wadada wanavutiwa na harufu ya pesa.
Labda swali lile ni pafyumu gani inanikia vizuri? Lakini siyo kwamba wadada wanapenda harufu kwa mwanaume zaidi ya harufu ya pesa.
Hebu pakalia Fahrenheit uone kama sijakufuata kwa nguvu...............
Hahahaha Dah perfume tu????pichu kuleeeee!!!Use miyak, sikumbuki inaandikwaje ila hii perfume iliniachanisha kwa mjamaa aliyetaka kunioa nikamfata, nikiwa field yeye ni afisa hapo ofcn. Yaani nakiri nilivua sketi na kila kitu cha ndani. Perfume tuu, siku hizi sijui kama bado IPO.
Ukisikia hiyo harufu ni signal ya pesa, mie wa mjini mwenzio Preta.