Kidawa_hiphop
Senior Member
- Jul 7, 2018
- 168
- 254
Kati ya watangazaji wa Clouds FM waliopewa nafasi na hawajui kutangaza basi huyu ni mmoja wao..anachapia mfano hakuna,hawezi kusoma habari(Tangazo let say)...Anabrag brag tu...
Sio wivu ,ila ukweli lazima usemwe..kiufupi hawezi kutangaza
Sio wivu ,ila ukweli lazima usemwe..kiufupi hawezi kutangaza