unauhakika mkuu wameshafanya interview?
Kwa nafasi za Engineering na Quality nina uhakika ila upande wa cashier ngoja nifuatilie.
kaka tunataka valid info
na nafasi ya security officer
Amina.Asante sana Lotiro kwa taarifa,ubarikiwe...
samahani mkuu, mimi ni mmoja wa niliyeomba nafasi ya sales speciality. napenda unijulishe kama wameta na watu wa post hiyo