Pepo la kupinga linaiangamiza CHADEMA, sasa wanapinga yale waliokuwa wanataka yawe kwenye bajeti

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Hili tatizo la kupinga kila kitu sasa limegeuka sumu, Chadema ilianza kama Chama chenye mawazo mbadala, baadaye kama chama/serikali mbadala huku wakiwaainisha maadui wa nchi kwa uaminifu mkuu. Baadaye wakanunuliwa na wale waliowaita maadui wa nchi na hapa ndipo balaa likaanza. Tukashuhudia pepo la kupinga kila jema likiwavaa.

mambo mengi waliyowahi kuyapendekeza ikiwamo kufuta ushuru kwenye mazao,kutambuliwa kwa wamachinga na kudhibiti mapato na kodi kwenye madini pamoja na udhibiti wa matumizi sasa wamegeuka kuwa wapingaji wa mambo hayo na kibaya zaidi siku hizi hawaji na hoja mbadala,utasikia tu 'hakuna kitu', 'wanakosea', 'mpinzani hutakiwi kuunga mkono hoja' nk..nk..nk.

Niseme tu, kupinga mfululizo husababisha sumu mwilini na baadaye mpingaji hugeuka sumu, ni pepo..na ngumu kuaminika tena. Mfano mdogo ni jinsi ambavyo Tundu lissu alivyogeuka sumu kwa nchi yake na kila dalili zipo atakuwa sumu kali kwa chama chake. Kilichobaki ni kutafunana wenyewe kwa wenyewe.

Nawasilisha.
 
Hauna hoja. Inaonekana haufahamu the overall concept of the opposition. Opposition mkishaanza kuunga hoja za upande wa pili hapo ndo unakuwa mwisho wenu kuitwa "Opposition", Opposition mkiona wenzenu wana hoja nzuri, mnachofanya ni kukaa kimya (You maintain passivity but not to back the proposal).

Tatizo hapa kwetu watawala wamezoea kufanya jambo kwa nia ya kutegea asifiwe na pale wengine wanapokuwa na mtizamo tofauti ndipo mipango inapoundwa hata wapotee kabisa duniani!

Ndiyo maana demokrasia yetu kamwe haitakaa iondoke kwenye makaratasi.
 
Fikiri nje ya box, kila siku wewe na chadema tu tena unaiandika kwa mabaya, binadamu mwenye akili kama yako ni hatari kwenye jamii, ya nini kusumbuka na asie kuhusu?! Unatia kichefuchefu sasa kila ukiandika chadema, si lazima uanzishe mada soma za wengine huna upeo mkubwa wa kufikiri.
 
Hili tatizo la kupinga kila kitu sasa limegeuka sumu, Chadema ilianza kama Chama chenye mawazo mbadala, baadaye kama chama/serikali mbadala huku wakiwaainisha maadui wa nchi kwa uaminifu mkuu. Baadaye wakanunuliwa na wale waliowaita maadui wa nchi na hapa ndipo balaa likaanza. Tukashuhudia pepo la kupinga kila jema likiwavaa.

mambo mengi waliyowahi kuyapendekeza ikiwamo kufuta ushuru kwenye mazao,kutambuliwa kwa wamachinga na kudhibiti mapato na kodi kwenye madini pamoja na udhibiti wa matumizi sasa wamegeuka kuwa wapingaji wa mambo hayo na kibaya zaidi siku hizi hawaji na hoja mbadala,utasikia tu 'hakuna kitu', 'wanakosea', 'mpinzani hutakiwi kuunga mkono hoja' nk..nk..nk.

Niseme tu, kupinga mfululizo husababisha sumu mwilini na baadaye mpingaji hugeuka sumu, ni pepo..na ngumu kuaminika tena. Mfano mdogo ni jinsi ambavyo Tundu lissu alivyogeuka sumu kwa nchi yake na kila dalili zipo atakuwa sumu kali kwa chama chake. Kilichobaki ni kutafunana wenyewe kwa wenyewe.

Nawasilisha.


Sababu ni kwamba mnayarukilia kwa kukurupuka, hamjayafanyia utafiti wa kutosha, nia yenu ni kulituliza dude tu, hamna mikakati endekevu ya kuondokana na matatizo yanayotukabili kama taifa, mfano mubashara ni swala la makinikia.

Hebu angalia swala la TANESCO, IPTL anaomba aongezewe mkataba wa miaka mitano, wakati uwepo wake kisheria ni majanga. Sasa hivi TANESCO wanalipa tena deni la escrow kwa STANDARD CHARTED BANK kwani kisheria ndio wamiliki halali wa IPTL. Sisi na wabunge wetu, wengi wakiwa wa CCM tupo tu kama mazuzu.
 
Hili tatizo la kupinga kila kitu sasa limegeuka sumu, Chadema ilianza kama Chama chenye mawazo mbadala, baadaye kama chama/serikali mbadala huku wakiwaainisha maadui wa nchi kwa uaminifu mkuu. Baadaye wakanunuliwa na wale waliowaita maadui wa nchi na hapa ndipo balaa likaanza. Tukashuhudia pepo la kupinga kila jema likiwavaa.

mambo mengi waliyowahi kuyapendekeza ikiwamo kufuta ushuru kwenye mazao,kutambuliwa kwa wamachinga na kudhibiti mapato na kodi kwenye madini pamoja na udhibiti wa matumizi sasa wamegeuka kuwa wapingaji wa mambo hayo na kibaya zaidi siku hizi hawaji na hoja mbadala,utasikia tu 'hakuna kitu', 'wanakosea', 'mpinzani hutakiwi kuunga mkono hoja' nk..nk..nk.

Niseme tu, kupinga mfululizo husababisha sumu mwilini na baadaye mpingaji hugeuka sumu, ni pepo..na ngumu kuaminika tena. Mfano mdogo ni jinsi ambavyo Tundu lissu alivyogeuka sumu kwa nchi yake na kila dalili zipo atakuwa sumu kali kwa chama chake. Kilichobaki ni kutafunana wenyewe kwa wenyewe.

Nawasilisha.

Elimu inawahusu vijana wa lumumba!Ukisoma heading utajua ndani umechambua bajeti na kuainisha hayo mazuri ambayo wapinzani wanayapinga!

Nikakaa mkao wa kula na kuacha shughuli zangu nisome content ya ulichoandika,damn,upuuzi mtupu!Hujui hata kuhusianisha hoja na heading!

Nadhani uzi huu unataka watu wapeani mipasho na vijembe!Total crap
 
Kama huna hoja si lazima kuchangia, Wakudadavua ametoa hoja nzuri kwa mwelekeo wa vyama vyetu mbadala wanapinga hata yale yaliyokuwa wanapendekeza kweli wanafaa kuongoza nchi?
Umeyaona hayo unayosema kwenye hoja ya mleta mada?Hebu soma content ya kilichoandikwa,kuna hata kimoja alichokibainisha mleta mada katika kujenga hoja yake???
Kaandika upuuzi!
 
Kwani Mtu akisema kitu Fulani hakiko Sawa Ndio kapinga kila kitu? Upotoshaji huo, CCM siku zote hamjielewi.

Yetu macho michango ikianza J tatu, msije kuanza katukana tu, mkijibiwa Ndugai awasaidie.

Bajeti hewa hii, Kama ya Mwaka jana,

Utawala bora huna, wahisani hawawezi kukupa PESA, itakuwa Kama iliyopita.
 
Elimu inawahusu vijana wa lumumba!Ukisoma heading utajua ndani umechambua bajeti na kuainisha hayo mazuri ambayo wapinzani wanayapinga!
Nikakaa mkao wa kula na kuacha shughuli zangu nisome content ya ulichoandika,damn,upuuzi mtupu!Hujui hata kuhusianisha hoja na heading!

Nadhani uzi huu unataka watu wapeani mipasho na vijembe!Total crap
jenga hoja na si kubweka dogo.
 
Kwani Mtu akisema kitu Fulani hakiko Sawa Ndio kapinga kila kitu? Upotoshaji huo, CCM siku zote hamjielewi.

Yetu macho michango ikianza J tatu, msije kuanza katukana tu, mkijibiwa Ndugai awasaidie.

Bajeti hewa hii, Kama ya Mwaka jana,

Utawala bora huna, wahisani hawawezi kukupa PESA, itakuwa Kama iliyopita.
Wewe unajielewa?
 
Umeyaona hayo unayosema kwenye hoja ya mleta mada?Hebu soma content ya kilichoandikwa,kuna hata kimoja alichokibainisha mleta mada katika kujenga hoja yake???
Kaandika upuuzi!
Wacha kulalamika.
 
Sababu ni kwamba mnayarukilia kwa kukurupuka, hamjayafanyia utafiti wa kutosha, nia yenu ni kulituliza dude tu, hamna mikakati endekevu ya kuondokana na matatizo yanayotukabili kama taifa, mfano mubashara ni swala la makinikia. Hebu angalia swala la TANESCO, IPTL anaomba aongezewe mkataba wa miaka mitano, wakati uwepo wake kisheria ni majanga. Sasa hivi TANESCO wanalipa tena deni la escrow kwa STANDARD CHARTED BANK kwani kisheria ndio wamiliki halali wa IPTL. Sisi na wabunge wetu, wengi wakiwa wa CCM tupo tu kama mazuzu.
Rudi shule ujifunze kuandika.
 
Hili tatizo la kupinga kila kitu sasa limegeuka sumu, Chadema ilianza kama Chama chenye mawazo mbadala, baadaye kama chama/serikali mbadala huku wakiwaainisha maadui wa nchi kwa uaminifu mkuu. Baadaye wakanunuliwa na wale waliowaita maadui wa nchi na hapa ndipo balaa likaanza. Tukashuhudia pepo la kupinga kila jema likiwavaa.

mambo mengi waliyowahi kuyapendekeza ikiwamo kufuta ushuru kwenye mazao,kutambuliwa kwa wamachinga na kudhibiti mapato na kodi kwenye madini pamoja na udhibiti wa matumizi sasa wamegeuka kuwa wapingaji wa mambo hayo na kibaya zaidi siku hizi hawaji na hoja mbadala,utasikia tu 'hakuna kitu', 'wanakosea', 'mpinzani hutakiwi kuunga mkono hoja' nk..nk..nk.

Niseme tu, kupinga mfululizo husababisha sumu mwilini na baadaye mpingaji hugeuka sumu, ni pepo..na ngumu kuaminika tena. Mfano mdogo ni jinsi ambavyo Tundu lissu alivyogeuka sumu kwa nchi yake na kila dalili zipo atakuwa sumu kali kwa chama chake. Kilichobaki ni kutafunana wenyewe kwa wenyewe.

Nawasilisha.


Mngejifunza kusikiliza na kuelewa hoja, mmojammoja, ingeweza kuwasaidia. Sasa mnaimbishwa na kuimba kwa kushangilia nyimbo kama za watoto wa chekechea.

Badala ya kutibu ndui iliyotufikisha tulipo mnaimbishwa kutibu tuu vidonda vilivyo juu ya ngozi. Ndo maana haviishi, vinazidi kushamiri. ILA mbaya wenu ni anaewaambia namna ya kutibu hiyo ndui.

BAYA ZAIDI Wingi wenu bungeni nao hausaidii kutibu hiyo ndui. Mnazidi kuwa vichekesho kwa kuridhika na juhudi za kutibu vidonda vinavyoonekana juu ya ngozi peke yake.
EE Mungu tusaidie WATZ, AMEN.
 

Similar Discussions

9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom