Paper zote wanabaki nazo,sijawah fanya interview afu paper ya maswali nikabaki nayoWakuu mwenye past paper za utumishi position ya Technician tanesco naomba aniweke apa
Mara nyingi ni maswali ya darasani kulingana na professional waliotangazaWanauliza zaidi wapi
Nimekuekewa Mkuu, Nataka za Electrical
Mkuu weka za mechanical technician au weka hata maswali wanayouliza kama unayajua ????we bwana ni msomi unatakiwa unyooshe maelezo
technician wa tanesco ndio nini?
haya unataka paper za civil.mechatronjcs,mechanical, electrical au zipi?