huu ni ushauri wa bure,siasa ni mchezo ambao hautabiliki na hii ni kutokana na sababu ya kuwa inapelekea kwenye kutafuta madaraka,kwa wale ambao wanaamini mungu watakubaliana nami kuwa hakuna ufalme wa milele ila kwa mungu pekee,but for the long time i have seen people fighting,wanatukanana,wanazushiana mambo ilimradi wapate cheo,lkn embu jaribu kufikiri hayo madaraka unayoyalilia yatakufikisha wapi,ndio unataka kusidia watu lkn kama watu hawataki huo msaada wako tulia fanya mambo mengine,to be continued