mapenzi ni asali na kisha ni subiri ikifikia subiri ni watu kujiua, kunywa sumu, kulogana, kupigana, na hata kuuana.maskini jasmin Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi.
Mi husumbuliwa na wivu mkali lakini si kiasi hiki aisee... Wivu wa namna hii toka kwa mpenzi wako ni hatari sana kwa mahusiano mtu ambaye anataka kila wakti awe beneti ni upofu wa hali ya juu sana unadhani mpenzi wako aweza kuwa sehemu na pahala pote wewe uwapo kana kwamba ni bidhaa ya dukani.
Watani zangu huamini wivu ni dalili ya upendo. Ni funzo kwetu na wasanii wote zaidi sana yatupasa kujitambua na kujikubali pale tunapoona kuwa tumevuka mpaka wa upendo na kutumia busara au hekima ili kuudhibiti wivu mkali unapokuwa umekupanda akilini na rohoni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.