Penzi la house girl halijawahi kumwacha mtu salama

Kifurukutu

JF-Expert Member
Aug 29, 2013
4,468
6,354
Wakuu
Hapa akili imejaa maji kabisa isijue nini cha kufanya!

Baada ya wife kubadilisha hose girl siku za hivi karibuni, alifanikiwa kuleta binti toka huko iringa
Huyu binti ni mrembo kwa kweli na alivyokuja jijini hapa hali yake ya maisha imebadilika kapendeza saaana yaani mwanaume lijali lazima anaswe naye tu

Basi hakukaa hata mwezi akajikuta kanizoea, mi na wife tukienda kazini nawahi kurudi kabla yake hivyo muda nakuwa homu na huyo house girl, na nikafanikiwa kumpata rahisi tu mimi kama bosi wake hata sijamtongoza nikalaza mtu horizontal

Kweli nimeamini penzi la house girl halimwachi mtu salama, sasa house mad huyu ananiambia anaujauzito wa mwezi mmoja
siko salama wakuu, hapa hofu yangu wife akijua hili timbuli atakufa mtu!
Sina namna, nakuombeni shortcut nimalizane na huyu beki tatu nibaki salama yaani iwe kimya kmya bla ya wife kujua!
 
Kutoa mimba ni dhambi na ni uuaji.
Tafuta fedha,mwanzishie mradi, mpangishie na ushirikiane kulea mimba na mtoto bila mke halali kujua.
Kumbuka:
Ukitoa mimba lolote laweza kutokea na katika harakati za kukata roho lazima akutaje. Balaa litakuwa kubwa zaidi
Pia:
Ukimtelekeza anaweza kushauriwa aende ustawi Wa jamii akakukaange vizuri.

Fungulia mgahawa au banda LA matunda au chochote uwezacho

SIKU nyingine usitende dhambi makusudi halafu uje kulialia humu. Muogope Mungu.

Sema: Amina
 
Mkuu kula haouse girl wala huhitaji excuse katika hilo maana house girls ni marupurupu ya ndoa. Ni haki yako kabisa kula hiyo kitu, ni chakula yako halali kabisa na hata mitume wamekula sana hoyse girls mfano Ibrahim.

Jambo la pili kuhusu mimba, njia pekee uliyonayo ni kuitoa maana hakuna namna nyingine kama unaraka kunusuru ndoa yako na pia kuepuka kujaza watoto wasio na baba anaewalea.
 

Similar Discussions

5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom