Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,203
- 12,904
Uenda ikawa kashfa mbaya kwa Pentagon kushindwa kuyatambua makombola ya Urusi, hii inajiri mara baada ya msemaji pentagon kusema ni kweli mfumo wao wa ulinzi wa Patriot ulilitungua kombola la urusi aina ya Kinzjal huko nchini Ukraine.
Wachambuzi wa makombola walianza kulitilia mashakha aina ya mabaki ya kombola lililo kaonyeshwa na Mayer wa Jiji la Kiev akiedai ndiyo kombala la Kinzhal huku picha zake zikiwa tofauti kimuundo na kombola la Kinzal.
Makombola hayo ya Kinzhal yamejizolea umaarufu huku Urusi ikijinadi kuwa hayawezi kuangushwa na mfumo wowote wa anga hapa Duniani kwani lina kombola ilo lina speed X10 ya saut!
Yamkini ikaleta picha mbaya kwa jeshi la Marekan makamanda wake kuoneka wakisema uongo au kutokujua utofuti wa makombola hayo
Wachambuzi wa makombola walianza kulitilia mashakha aina ya mabaki ya kombola lililo kaonyeshwa na Mayer wa Jiji la Kiev akiedai ndiyo kombala la Kinzhal huku picha zake zikiwa tofauti kimuundo na kombola la Kinzal.
Makombola hayo ya Kinzhal yamejizolea umaarufu huku Urusi ikijinadi kuwa hayawezi kuangushwa na mfumo wowote wa anga hapa Duniani kwani lina kombola ilo lina speed X10 ya saut!
Yamkini ikaleta picha mbaya kwa jeshi la Marekan makamanda wake kuoneka wakisema uongo au kutokujua utofuti wa makombola hayo