Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
Kwan Taarifa Zake Za Kiintelijensia sizilizema kama atashambuliwa hvyo wanajeshi na zana zake nyengne akaondoa kwahio hakukua na majeruhi wala nn
Suala lamuda tu maana hayo machuma chuma hata ARAMCO Aliweka nawakala kipigo... Iraq ataachia tu hana jinsi.
😂😂😂😂😂 yalishindwa kugeuka!?Suala lamuda tu maana hayo machuma chuma hata ARAMCO Aliweka nawakala kipigo
Sent using Jamii Forums mobile app
US anaonekana ana ujasiri na uhakika ombi lao litapitishwa.... Iraq ataachia tu hana jinsi.
Suala lamuda tu maana hayo machuma chuma hata ARAMCO Aliweka nawakala kipigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Akipewa kibali safari nyingine hayo madude ya sisahau kugeuka! Kama yale ya Saudi Arabia!US anaonekana ana ujasiri na uhakika ombi lao litapitishwa.
HeheheheUkiwauliza wamarekani weusi humu JF wanakwambia zile Patriot kule Saudi Arabia zilifeli sababu hazikua designed kwa ajili ya makombora ya dizaini hio hahah
dodge
Akipewa kibali safari nyingine hayo madude ya sisahau kugeuka! Kama yale ya Saudi Arabia!
Ila kusema ukweli yale madude ya liolenga Saudia Arabia na apo Iraq yana akili sana!
IRAN ameleta nidhamu aisee , sasa watu wanaheshimiana kabisa
Mavitu yana chaguwa pakupiga kwenzi!!
Yale Mavitu yao yana chagua pakupiga na hayaonekani!IRAN ameleta nidhamu aisee , sasa watu wanaheshimiana kabisa
IRAQ Kweli wanataka Kununua Ulinzi Wa ANGA Ila Washasema Kama wanataka Wamfate RUSSIA Awape S300 US Anaenda Kupoteza Ushawishi wake kwa wana mashariki yakati Haraka SanaMpango wa baadae wa kuwauzia Iraq hizi system ili kulinda maeneo potential,ikiwemo green zone.time will tell,,,,,hawa jamaa ni wajasiriamali.Saudi ilikuwa hivyo hivyo ili wasaini mkataba,na kuna uwezekano kuna vikundi vinatumika kurusha makombora hapo iraq