Pentagon: Russia's S-400 Air Defense in Syria Forces US to Ground Warplanes

Bukyanandi hakuna mtu anakataa uwezo S-400 lakini msituambie haipitiki or is like iron dome Fulani,kwanza niliwahi kumsikia one General akisema dawa ya good defence system is overwhelm with cheap cruise missiles kabla hujailipua yenyewe,imagine 100 cruise missiles per minute targeting your system utashusha ngapi na ngapi zitakulipua? is more theory na wala sina uhakika lakini it does make sense

Ni kweli KOBA 100 cruise missiles/artillery shells per minute ni very overwhelming kwa Defence system moja lakini KOBA kumbuka kwamba S-400 hakai peke yake kwenye site Warusi ni wajanja sana wanaweka vile vile Pantsir ili isaidie kuongeza layer nyingine kukinga Air defence Unit (S-400) kwa mashambulizi ya kutoka angani hasa hasa ya masafa mafupi, Pantsir -S1 ni highly mobile na ina-track na kupiga ikiwa inatembea - rate of fire na ku-load kwake inatisha sana mkuu.

Ni i kweli vile vile kwamba Wamerika wanajaribu kubuni mfumo wa ku-overwhelm lS-400 kwa kutumia cheap cruise missiles au mfumo wa wasps/bees in form of tiny drones nyingi kwa mpigo kama mashambulizi ya nyuki - Merikani imekwisha fanyia majaribio mbinu hizo lakini wakagonga kisiki cha kuipumbaza Pantsir S-1/2 mpaka sasa bado wanapiga mbongo zao jinsi ya ku-deal/contain Pantsir-S1 kwanza, nilisoma sehemu Warusi wakisema itachukua Merikani miaka ishirini ku-defeat systems za S-400 sasa sijui kuna ukweli gani katika madai hayo.

Labda niongeza kwamba kisayansi uwezi kurusha 100 cruise missiles per minute kutoka sehemu moja hii inatokana kwamba cruise missile inafyatuliwa kwanza kama roketi kwa kutumia solid fuel wanafanya hivo ili gas turbine engine(jet engine) ipate enough compressed air kutokana na kasi ya booster ya roketi - hewa hiyo ikifika kwenye combustor inachanganywa na kerosene halafu inawashwa na sparkplug muwasho huo unakuwa continous kama stove au Petromax inavyo fanya kazi, itazima tu kama mafuta yamekwisha au hewa haitoshi, it takes about 15 seconds au twenty kama sikosei cruise missile kufikia hatua ya jet engine ku-kick in, jet engine ikisha
waka booster ya roketi inazima na kutemwa,missile ikifikia hatua hiyo inapaa/safiri kama jetfighter kwa kukunjuwa winglets automatically.

Ukiangalia vizuri cruise missiles ufayatuliwa moja baada ya nyingine kunakuwa na time lag 4 a reason wanafanya hivyo ili booster inapo temwa debris zisije zikaingia kwenye compressor za jet engine, cruise missiles zinafuata same flight path/curve zinakuja kusambaa huko mbeleni huko ndiko zinafuatisha ramani za target ambayo imekuwa digitised na kuwa uploaded kwenye memory zake.
 
Pamoja na ushabiki binafsi kwa USA na wengine Russia kuna vitu vizuri vinaniondolea ujinga hapa,naufuatilia uzi huu hatua kwa hatua
 
Ni kweli mkuu,jamaa huyu amewazidi kete kwa mbali mahasimu wake na hilo wanalijua sana, we sema wanajaribu ku put up a brave face lakini deep down wanajua PUTIN ni zaidi.

Mimi ninacho weza kutabiri ni kwamba kama Trump anaweza kushinda Urais basi Merikani, Urusi wataelewana kwenye mambo mengi yenye tija kwa binadamu na sio mambo ya vita na uchochezi unaopaliliwa na ma neocon,hii inawezekana kabisa tukikumbuka maelewano yaliyo kuwepo baina ya Reagan na Gorbachev walikubaliana kuachana na vita vya baridi including Uhundwaji wa Air Defence systems za STARWARS na kupunguza idadi ya ICBM na Bombers kwa pande zote, si hilo tu hata wakati wa utawala wa G.Bush Jr na Putin nao walielewana vizuri tu tatizo limekuja kuhibuka katika second term ya Utawala wa Obama - yaani hivi sasa si rahisi kujua kama Obama ana madaraka kweli-yupo yupo tu anaendeshwa puta na ma neocon,kikundi hicho ni tishio kubwa kwa amani ya Dunia,kundi hilo lisipo mkuta Rais mwenye msimamo linaweza kusababisha WW3, hawana hekima hata kidogo.

Very true aisee
 
Huu wangu sio ushabiki kwa sababu haya ni mambo ya hatari sana.

Urusi wamejibu vizuri sana:
  • Wamewawekea pingamizi Uturuki kibiashara na uchumi wa Uturuki sasa unayumba (tafuta muda usome walichofanya na matokeo yake. Usikilize CNN tu utapitwa na mengi)
  • Wamevunja uhusiano wa kibalozi na Uturuki (very serious)
  • Urusi wamedhibiti anga lote la Syria hivyo kwamba hata Marekani lazima wawajulishe (kuomba ruhsa) Urusi kama wanataka kuruka kwenye anga la Syria.

Narudia tena. Hakuna atakaekuwa mshindi kama NATO na Urusi wakizichapa. Dunia nzima itaangamia. Acha ushabiki.

Usiangaike kumwelewesha mtu anaye leta mipasho, wewe umeweka fact tupu kama anapinga na wewe na yeye aweke fact zake na sio anapinga kwa porojo aweke fact hapa kama kuna hata anacho kijua.
Vilaza huwa ni wabish ila ukiomba fact hana hata moja
 
Integrated system ya S-400,inacombine long range,medium na shortrange defence missile na kunakuwa na S-400+Buk+Tor+Pantsirs,hizo ni system nne zimekuwa intergrated pamoja kuteengeza multilayered air defence.

Chukulia pantsir ina ultra sensitive heat sensor ambayo ndege yeyote ya stealth haiwezi kujificha,kwahiyo hata kama ndege ya stealth kama F-22 ikiwa haijafika range ya S-400 kuiona katika rada,tayari pantirs inakua imeshaiona kwa kusense heat ya hiyo stealth na kisha kutuma taarifa kwa S-400 ambayo itaengage.
System kama pantirs huwezi kuijamm na inaoperate hata kama rada zimezimwa na hivyo kuifanya kuwa ngumu kuitambua iko wapi na pia ni highly mobile.hii ndo huwekwa layer ya mbele kabisa ili iweze kualert system zingine kama kuna
shambulio linakuja,makombora yake hufyatuliwa kwa kufuata heat inayotoka katika ndege adui(heatseeking missile)
 
Mkuu watu wengine hawataki kukubali ukweli kwamba PUTIN si mchezo, anacho fanya hivi sasa ni kuwapa Merikani wa washiraka wake enough rope ili wajimalize/wakimbie wenyewe, kwanza Warusi wanajua kwamba Uturuki ilipewa kibali na Merikani kuangusha SU-24, binafsi nafikiri marubani wa F-16 walikuwa ni Wamerikani au Waingereza maanake Nchi zao ndio zilikuwa zinazungumzia sana kwamba ndege za Urusi zikianza kuangushwa huko Syria basi hilo litawatisha sana Warusi - mawazo ya kijinga kabisa.

Tangu kuangushwa kwa SU 24 fighter ndio kuliwafanya Warusi waonyeshe walivyo wakali kijeshi kwa kuongeza silaha na mitambo ya ulinzi wa anga(S-400) na mashambulizi makali zaidi - kwa maneno mengine Russia has been showcasing some of its capability (repeat some) to make the USA think twice, ndio maana ghafla bin vuu J.Kerry kakimbilia Moscow (his.. between his legs) kufanya mazungumzo na Lavrov na Ivan the Terrible, ndege za vita za Merikani zakaondolewa fasta Uturuki na kwenda kufichwa huko Uingereza si hilo tu hata makombola ya Patriot yakaondolewa kwenye anga la Uturuki fasta fasta!! Sina shaka Response ya Urusi kijeshi baada ya ndege yao kuhujumiwa iliwatisha sana Wamerikani na Washirika wake - kumbuka leo Putin kasema bado hajatumia silaha zake (conventional) ambazo ni kali zaidi,leo hii Merikani haiwezi kurusha ndege zake za kivita au Drones kwenye anga la Syria bila ya kutaarifu Jeshi la Urusi kwanza.

Baada ya matukio hayo - looks 2 me like Urusi ilimwambia Obama bila ya kumungunya maneno kuhusu hatua itakayo fuata kama Uturuki itajaribu tena kuhujumu ndege au meli zao za kivita, sina shaka US haikuwa na jinsi ilipaswa kukubaliana na Urusi na kujiweka pembeni (i.e kuondoa zana zake za kivita Uturuki), Ujerumani nayo ameondoa makombola yake ya Patriot kwenye anga la Uturuki na kuyarudisha Ujerumani, ghafla Uturuki imeachwa hiko exposed/solemba, kisa - Mziki wa S-400 si lelemama.

Mkuu, Nakubaliana na wewe 100%.
 
Russia will not destroy American planes but they are in exercising and testing equipments in Syria as putin said previously to know and strengthening there capabilities when real war with America happens.
putin has signed agreement with Americans and Israelis for airplane routes coordination and de escalation /deconfliction.
recently attack of Israel attack to Damascus ,Russia did saw it coming on radar screens and Israeli notification's.
Israeli pm Netanyahu had various meetings with putin in Moscow and elsewhere before and during Russia's Syria bombings.
Russia has bigger interests in Israel including its most important orthodox churches and former soviets citizens now Israeli citizens so Russia will never oppose Israeli.
in contrary Russia does not have much interest in America since Exxon Mobil and chevron moved away from energy projects in Russia long time.
http://www.businessinsider.com/russ...ng-range-air-defense-systems-in-syria-2015-11

s 400 from latakia it cover whole of southern turkey, almost all of Syria,northern Iraq,half of Israel,whole Lebanon,almost all of jordan,almost half of Mediterranean sea including Cyprus.
India and china have said they will buy s 400.
since s 400 deployment in latakia, Russia has established a no fly zone to turkey planes inside northern Syria.
Syria is important country, it has oldest jewish synagogue and one of early churches in the world.
Syria is mention several times in the holy bible and is among oldest civilization in the world.
Damascus is the oldest city in the world still standing not destroyed since its beginning .
Syria was inhabited first by pagans,then follows Jews,Christians and lastly Muslims.
so you can see Syria first religion was Judaism then it follows Christianity spread by st.Paul
Now Russia has come to protect Assyrian Christians population from Isis attacks with turkey accomplices while America's obama have failed to do so instead they give terrorists weapons and money and allow illegal oil trade btw isis and turkey to continue .
so Russia destroys Isis and its illegal oil trade.
 
Mtafutie bifu likamuokoe huko alikokwama haha hahaha

Hahahahah nani kakwambia nimekwama wewe mbeba box but I know alotta people who sound the same as you hadi nashangaa anyway one day ntakuja kutembea pande hizo
 
Siyo kupeleka tuu, mwaka jana putin alipigia tizi katika anga ya USA
East na West coast,jamaa wakabaki wanalalama - submarine iliwahi kukaa kwa wiki tatu pwani ya Mashariki ya Merikani bila ya kugundurika!

Mapema mwaka jana submarine ya Uchina ilikatisha chini ya Aircraft Carrier ya Kimerikani bila ya kugundurika - Wachina wangetaka wangeweza kuizamisha kirahisi kwa kutumia torpedo yao aina ya DFH-1 kama sikosei.
 
East na West coast,jamaa wakabaki wanalalama - submarine iliwahi kukaa kwa wiki tatu pwani ya Mashariki ya Merikani bila ya kugundurika!

Mapema mwaka jana submarine ya Uchina ilikatisha chini ya Aircraft Carrier ya Kimerikani bila ya kugundurika - Wachina wangetaka wangeweza kuizamisha kirahisi kwa kutumia torpedo yao aina ya DFH-1 kama sikosei.

Source???
 
Source???
Mkuu kitu cha kwanza hapa hatuleti mambo ya kutunga, kitu kingine ujaribu kutumia lugha yenye staha - usifikiri hatuna uwezo wa kuwa very RUDE, hapa tunabadirishana mawazo na kuelimishana - we can agree 2 disagree without offending anyone.

Here we go:

Numberone
Russian attack submarine slipped past US Navy and patrolled Gulf of Mexico for weeks undetected!!!!!


A Russian attack submarine slipped into the Gulf of Mexico undetected and sailed through US strategic waters for weeks without the US Navy noticing, it was reported on Wednesday.

The US military didn't even know about the presence of the Akula-class nuclear submarine earlier this year until after it had already left the gulf, still carrying a payload of long-range missiles.

The revelation is part of a startling trend of Russian incursions as the former Cold War foe ramps up its military might under the leadership of President Vladimir Putin.

article-2188791-148EE32E000005DC-118_468x286.jpg

Photo:StealthyThe Akula-class vessel is built to slip into an area undetected
and destroy American ballistic missile submarines



Read more: Russian attack submarine slipped past US Navy and patrolled Gulf of Mexico for weeks undetected | Daily Mail Online

Source:Daily Mail UK.
##############################################################################

Numbertwo

Chinese sub pops up in the midst of a US carrier battle group!!!!

American military chiefs have been left dumbstruck by an undetected Chinese submarine popping up at the heart of a recent Pacific exercise and close to the vast U.S.S. Kitty Hawk ? a 1,000ft supercarrier with 4,500 personnel on board.


By the time it surfaced the 160ft Song Class diesel-electric attack submarine is understood to have sailed within viable range for launching torpedoes or missiles at the carrier.


According to senior Nato officials the incident caused consternation in the U.S. Navy.
The Americans had no idea China?s fast-growing submarine fleet had reached such a level of sophistication, or that it posed such a threat.


One Nato figure said the effect was ?as big a shock as the Russians launching Sputnik? ? a reference to the Soviet Union?s first orbiting satellite in 1957 which marked the start of the space age.



US Pacific Command?s Adm William Fallon says the group wasn?t conducting anti-sub operations, but the fact remains that the submarine did slip past the group?s security screen undetected and popped up within firing range of the Kitty Hawk.
?It illustrates the primary reason why we are trying to push, to have better military-to-military relationships? with China, Fallon said.

?Because the fact is that you have military units that operate in close proximity to one another,? he said, warning of ?the potential for events that would not be what we?d like to see.?

The infiltration took place off Okinawa, so it not only threatened the US, but also one of our staunchest allies.

Source: By BRYAN US.


 
Hiv hizo S-400 ndo kigezo cha kwamba Putin hashikiki this time?! Manake naona hiyo ndo sababu kubwa ikiongelewa! Au kuna ingine siijui!

S400 kwa sasa ni silaha bora zaidi duniani kwa ulinzi wa anga.

hakuna ndege yenye uwezo wa ku operate katika eneo linalolindwa na S 400 kutoka Marekani ama kwingine kokote.

lakini S 400 is not the Superior defence system.

kuna kitu kinaitwa A135 kutoka Urusi. Hapo ndio mwisho wa matatizo yote.

na generation mpya ya S 500 itajumuisha pia uwezo wa A 135.

itafute hiyo kwa google uone.

hiyo itatumika tu kama kuna hatari kubwa zaidi.

ila kwa ndege za vita S 400 inatosha kuangusha aina zote za ndege.


A 135 ina operate katika Hypersonic speed lakini S 400 ni supersonic speed.
 
Lakini inasemekana tangu mrusi asimike vitu vyake huko syria na kulifunga anga la syria hakuna ndege ya marekani imekatiza tena kwenye anga ya syria,,kwa sababu marekani anajua mlengwa wa hizo misile s-400 ni yeye,,,magaidi wa IS hawarushi ndege huko syria
 
Lakini inasemekana tangu mrusi asimike vitu vyake huko syria na kulifunga anga la syria hakuna ndege ya marekani imekatiza tena kwenye anga ya syria,,kwa sababu marekani anajua mlengwa wa hizo misile s-400 ni yeye,,,magaidi wa IS hawarushi ndege huko syria

Kuna mengi tu 'yanayosemekana'.

Lakini 'kusemekana' tu hakumaanishi hayo 'yanayosemekana' ndivyo yalivyo kiukweli.
 
Lakini inasemekana tangu mrusi asimike vitu vyake huko syria na kulifunga anga la syria hakuna ndege ya marekani imekatiza tena kwenye anga ya syria,,kwa sababu marekani anajua mlengwa wa hizo misile s-400 ni yeye,,,magaidi wa IS hawarushi ndege huko syria
Nani kawaambia US harushi ndege zake Syria? fanyeni research kidogo tuu kabla hamjaandika
 
America wana Lockheed Martin F 35 joint strike force..ipo capable kudeal na S 400..Czan kama USA wanahaha na hao warusi
 
Back
Top Bottom