AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Mbona hajaomba msamaha kwetu sisi wananchi kwa usaliti aliotufanyia?
Mkuu acha kumpakazia Pengo wetu, Gwajima ni nani kwa wakatoliki? huyu anaefufua wafu aliowapanga yeye mwenyewe?Kwanza anatakiwa atubu kwa dhambi ya mipango ovu aliyopanga na Pinda ya kumtesa Gwajima. Pia amwambie na Kilaini arudishe pesa za escrow zilizoliwa na majambazi wote.
Kwanza anatakiwa atubu kwa dhambi ya mipango ovu aliyopanga na Pinda ya kumtesa Gwajima. Pia amwambie na Kilaini arudishe pesa za escrow zilizoliwa na majambazi wote.
Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?
Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.
Gwajima si askofu.
Pengo ni mnafiki sana na atakuwa kamuwekea sumu Gwajima msema ukweli
Yani na wewe kabisa unaenda kwenye ibada ambayo pengo anaiongozwa baada ya kuwasaliti maaskofu?askofu mkuu wa jimbo la dar es salaam mwadhama pengo amesema amemsamehe mchungaji gwajima na wote walioguswa .ameyesema hayo wakati wa ibada ya Leo jumapili katika kanisa la st joseph amesema "naomba niseme kutokana na hali iliyopo kuwa kutoka moyoni kabisa nimesamehe yote yaliyosemwa na naomba tumuombee na kuwaombea wote walioguswa sina kinyongo chochote"waamini walilipuka kwa makofi baada ya kusikia kauli ya mwadhama Mytake:niishauri serikali kuachana na gwajima madam mwadhama ametamka tena huku akiwa amekalia kiti cha kiaskofu kwa sisi wakatoliki nadhani tunajua maana ya tamko linapotolewa huku askofu akiwa amekalia kiti chake maana yake Mungu ameupokea msahamasource Mimi mwenyewe nilikuwepo kwenye misa
Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?
Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.
Nani kamsababishia mwenzake matatizo? Salary slip, sikujui, lakini huwa naona post Zako za mtu msomi! Sasa hii statement yako inanipa mashaka makubwa sana. Nani kamsababishia mwenzake matatizo, nifafanulie
Salary slip ameniweka njia panda! This is below his intellectual dignity!Umeona Mkuu eeeh? Kwa kweli hata mimi nimehizunishwa sana na hiyo post ya Mkuu salary slip! Nikawa nawaza hivi ni hii mvua ya pasaka ndo imemfanya huyu mdau awe low kiasi hicho? Kwa kweli amefikri chini sana ya kiwango chake, hii ni below average!!
Gwajima ni wa kumsamehe tu, hana akili nzuri. Kuna clip nimemskia akidai alikuwa anamkemea askofu mwenzake. Yaani Gwajima askofu wa mtaani anataka kujilinganisha na Pengo!!?
Alafu anadai mwenyekiti wa maaskofu wa katoliki ndiye mkuu wa kanisa katoliki Tanzania. Ana uelewa mdogo sana. Sijui anawezaje hata kuwatapeli wafuasi wake kiasi hicho.
Mbona hajaomba msamaha kwetu sisi wananchi kwa usaliti aliotufanyia?
Askofu wa tanzania nzima alimkalipia askofu wa dar es salaam