pengo lake halitozibika

Mndengereko

JF-Expert Member
Mar 24, 2011
7,280
3,345
mapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!
 
Time will heal all the wound.
Msamehe tu, endelea kujichanganya na marafiki, tembelea maeneo mapya, iambie nafsi yako kuwa ilizaliwa ikiwa na furaha, na inaweza kuendelea kufurahi hata bila ya uwepo wa huyo mtu
mapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!
 
mapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!


Jaribu tu kukubaliana na uhalisia na umtoe huyo mtu ktk moyo wako kwa vile si wako tena,maisha ni lazima yaendelee kama kawa,kuwa mvumilivu na taratibu pasipo kukurupuka usianzishe mahusiano mengine kwa kukurukupa just kuziba pengo lake.Give yourself time,let go of her.Utapata mwingine atakayeziba hilo pengo vizuri tu,mbona wako wengi tu.!!!!!!!!!1
 
pole sana hao ndio manawake ndugu yangu i do wanda u guys kwanini umpe mtu moyo wako wote ????kwanini ulizaliwa nae?? to me it doesnt make sence namwogopa sana mtu wakukutana naye ukubwani
 
mapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!

Yataisha tu ndugu, sibiri upate wa kukurusha roho, utasahau huko nyuma, anyway is a matter of time, dont worry be happay. :israel:
 
pole sana hao ndio manawake ndugu yangu i do wanda u guys kwanini umpe mtu moyo wako wote ????kwanini ulizaliwa nae?? to me it doesnt make sence namwogopa sana mtu wakukutana naye ukubwani
my dear, subiri upate atakayekudatisha ndo ujiulize kwa nini watu wanakabidhi mioyo yao kwa wapenzi........
mimi hii siishangai kabisaaaaaaaaaaaa, sababu ili nifurahie mapenzi naamini kwenye kujikabidhisha kwa mwenzangu mwili na moyo.....
akinitenda, time is always the best solution......with time nitapona tu.
siamini kwenye kupenda nusu nusu, naona sijitendei haki ya kufurahia mapenzi
 
Pole kaka namini hayo maumivu yatakwisha bt usihangsike tulia ukimpata anayekupendeza machoni na moyoni mpende kisawasawa bsi utakua kama wewe uliyezaliwa ili ugurahie maisha amini ni wewe mwenyewe tu waweza kujitengenezea furaha kwanza umeshauriwa mengi yafate bro.
 
my dear, subiri upate atakayekudatisha ndo ujiulize kwa nini watu wanakabidhi mioyo yao kwa wapenzi........
Mimi hii siishangai kabisaaaaaaaaaaaa, sababu ili nifurahie mapenzi naamini kwenye kujikabidhisha kwa mwenzangu mwili na moyo.....
Akinitenda, time is always the best solution......with time nitapona tu.
Siamini kwenye kupenda nusu nusu, naona sijitendei haki ya kufurahia mapenzi
dadad FP bwaga moyo wako wote safisana natumia akili sana kuliko moyo wangu mie so naishi kwa maarifa sana kwenye hii dunia moyo wangu una nafasi ndogo sana katika kucontrol maisha yangu aisee .siwezi ukabidhi wote kama gunia la sukari niuzwe kwa kilo kusubiri kuisha nitaipataje furaha wakati wakilio changu
 
Last edited by a moderator:
dadad FP bwaga moyo wako wote safisana natumia akili sana kuliko moyo wangu mie so naishi kwa maarifa sana kwenye hii dunia moyo wangu una nafasi ndogo sana katika kucontrol maisha yangu aisee .siwezi ukabidhi wote kama gunia la sukari niuzwe kwa kilo kusubiri kuisha nitaipataje furaha wakati wakilio changu
ndo maana nimesema hivi mdogo wangu nivea, bado hujampata.......
kila mtu kapita huko kwenye kutumia akili badala ya moyo........ mara nyingi kama mtu smart unapoamua kuingia kwenye mapenzi unaanza kutumia akili, kadiri siku zinavyoenda na mnavyozidi kudatishana feelings zinahama kutoka kutumia akili mpaka kutumia moyo........
nakuelewa kama unasema unakuwa na mtu, kabla hajakuingia kisawasawa tayari mmeshaachana........
lakini kama unakaa na mtu kwenye mapenzi kwa muda mrefu.......mnapeana kila kitu......bado unatumia akili? basi mdogo wangu hufaidi ladha ya mapenzi.....
Onyo: usimkabidhi moyo mpita njia.................
 
Last edited by a moderator:
mapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!


Pole mkuu, kudate na wasichana wengine si solution ya tatizo lako, unaweza kuambulia magonjwa na mambo mengine mabaya zaidi. Solution ni wewe kuikubali hiyo hali ya kwamba umepigwa chini na kuconcentrate na mambo mengine ya kimaendeleo. Maisha bado yapo, na utampata atakayekupenda kwa moyo wote.
 
pole sana jaribu kujichanganyakwamarafiki wapya na kujiweka bize na mambo yako binafsi naimani cku moja utampta atakae kupenda zaidi na utajiulizwa y nilichelewa kukupata wewe barafu wa moyo wangu mapema hadi kuwekewa gunia la misumari kichwana kila kitu kinaitaji imani amini utapata
 
matatizo ya mapenzi huwa soo common na solution zake pia.
wapo wengi wenye tatizo kama lako anyway pole sana.
 
ila kiukweli na ujanja huu wa nazi macho matatu lakini haioni, sikujua wanaume wanakamatikaga na kuwa wadogo hivi! hivi nikimuacha Paw atajuta? Au nitakuwa nimepiga ngumi ukuta? Sijui nawazaje leo, ngoja....
 
Shukuru Mungu mmetengana kwana anaonekana ni MALAYA hivyo angekusumbua sana mngeishi wote. Usimwambie lakini mimi nimekwambia yeye ni MALAYA
 
ndo maana nimesema hivi mdogo wangu nivea, bado hujampata.......
kila mtu kapita huko kwenye kutumia akili badala ya moyo........ mara nyingi kama mtu smart unapoamua kuingia kwenye mapenzi unaanza kutumia akili, kadiri siku zinavyoenda na mnavyozidi kudatishana feelings zinahama kutoka kutumia akili mpaka kutumia moyo........
nakuelewa kama unasema unakuwa na mtu, kabla hajakuingia kisawasawa tayari mmeshaachana........
lakini kama unakaa na mtu kwenye mapenzi kwa muda mrefu.......mnapeana kila kitu......bado unatumia akili? basi mdogo wangu hufaidi ladha ya mapenzi.....
Onyo: usimkabidhi moyo mpita njia.................

Dah mtu wangu FP umezungumza kiutaalamu na uzoefu tena wa kiutu uzima, kwa kifupi umeni -move.
Kwa kufuatilia maongezi yako na nivea na hii sred inaonekana bidada nivea ni mhanga au bado ana majeraha.
Wengi tukitoka kwenye maumivu huwa tunakuja na imani nyingi ila labda tuwe tunazungumzia kitu kingine, ila kwenye mapenzi.... Hamna kupenda nusunusu, kama unajiona upo hvyo kwenye mahusiano yako basi isubiri ajali kamili!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom