Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,280
- 3,345
mapenz yana nguvu kuliko ki2 chochote ndivyo ninavyoamini mpk sasa nilikuwa na mpenz wangu bt amesafiri kwenda nje ya nchi kusoma kabla hata hajaondoka we were nt in gud terms ni kwa sababu ya cheating za hapa na pale,nilitarajia uondokaji wake ungenifanya niwe free from her kistress na hata kuachana nae bt hali ni ngumu kwangu 2nawasiliana kimtndo,nimedate wasichana wengne niweze kumsahau lakini wap akili yangu yote ipo kwake,jana ndio kanitamkia live kwamba kapata m2 mwingne so there is nthng I can do,nipo ktk transition period ya kuweza kumsahau ktk memory yanguiliyojaa huzuni,wivu na hasira,
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!
nahtaj ushauri wowote ambao utanifanya niweze kumsahau kwa urahisi!!!