Kisu Cha Ngariba
JF-Expert Member
- Jun 21, 2016
- 22,137
- 48,808
Sijasema hivyo mkuu ila nimejaribu kulinganisha kipindi chote alichotumika kama waziri hatukuwahi kupata shida ya umeme hovyo hovyo kama sasa
Siku gani Tanzania haijakumbwa na mgao wa umeme? Mvua ikinyesha tu umeme unakatika. Tatizo la umeme lipo kila siku.