Pengo la Lissu, Mnyika na Zitto halijazibwa bungeni! Hizi tozo za kizalendo zisingepita bila marekebisho makubwa!

Sio asilimia 3% Watu approx 500 ndo big tax payer. Hawa wengine huwezi wategemea maana ni unstable mpaka wakuzwe. Tunataka kodi ikusanywe kwa watu wachache mpaka wafungiwe account zao bank yaani au wakimbie tuhamie kwa hawa wafanyabiashara unstable tufunge accont zao wakishindwa halafu mwishoni tubaki bila walipa kodi?

Ukisikia makusanya yapo juu ujue kuna mtu amechangia, safari hii ni wote kidogo kidogo.

Vyanzo vya kodi nchi ni vichache kiasi hicho?
 
3% ndio walipa kodi? Ile VAT iliyopo kny kila muamala unaofanya sio kodi? Kila mtu analipa kodi iwe directly au indirect. Ukiweka vocha tu kuna kodi hapo umelipia. Kitendo tu cha kununua kitu kwa mangi ambacho sio exempted with tax na wewe umelipia kodi. Huu mpango ulioletwa ni mpango tofauti na kodi walichofanya ni utapeli

Haitoshi kulipa mishahara na posho. Haitoshi kujenga barabara na kupeleka maji vijijini. Ndio maana tunafunga mikanda.
Kinachouma sana ni kuona watu wanafuja pesa za walipa kodi na waachwa hivi hivi. Kuna scandals kadhaa na bado wengine wachache wanataka kutengeneza nyingine. Hasa kwenye miradi hewa au kuongeza gharama za miradi. Shoka liko shinani.....
 
tatizo wameyaacha majembe kina mbowe lisu na msigwa, wakawapeleka bungeni warembo wa kutomaswa, kushikwashikwa, kubembelezwa na kulegea eti ndo wakawe wapinzani bungeni.
 
Wapinzani walitengeneza diversion ya hili jambo kwa kujua au kutojua.

Hata kama wapo nje ya Bunge lakini bado wakati haya yakifanyika Bungeni wao waliwekeza nguvu na muda kudai Katiba Mpya.

Huu ni ukosefu wa kujua nini Cha kusimamia na Kwa namna gani.

Tuna upinzani dhaifu Sana na usiokuwa na malengo.
Inawezekana wewe haya makodi na madude mengine yanayotuumiza watanzania hayakuhusu... Kaa kimya
 
Tunalipa kodi. 3% ya watanzania ndio waliokuwa wanalipa. Sasa hii ndio dawa yetu
Wengine kazi yao kudai serikali inawepe maendeleo. Hela za maendeleo zitatoka wapi? n
Hakuna mtanzania asiyelipa kodi,iwe direct au indirect
 
Back
Top Bottom