johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,551
- 141,359
- Thread starter
- #41
Kwani akina Halima Mdee wako CCM?Kwani pana Bunge pale au ni kikako cha CCM?
Kwani akina Halima Mdee wako CCM?Kwani pana Bunge pale au ni kikako cha CCM?
Unaijua maana ya too much? Si ajabu Magu alikuwa anawapora pesa kwa lazima na Nyerere alikuwa anawatandika bakora Ili mlipe kodiKodi nalipa sana tena kuliko hata wewe ila too much is harmful
Naijua ndio maana nmeisemaUnaijua maana ya too much? Si ajabu Magu alikuwa anawapora pesa kwa lazima na Nyerere alikuwa anawatandika bakora Ili mlipe kodi
Si wa Chadema ni wabunge wa NdungaiKwani akina Halima Mdee wako CCM?
Hii ya sasa tunavyoendelea kuchat ndio chance ya kuchangia muamala inavyoongezeka. Lakini ndio hivyo.....Kuna tofauti kati ya kodi na tozo bwashee!
Sio asilimia 3% Watu approx 500 ndo big tax payer. Hawa wengine huwezi wategemea maana ni unstable mpaka wakuzwe. Tunataka kodi ikusanywe kwa watu wachache mpaka wafungiwe account zao bank yaani au wakimbie tuhamie kwa hawa wafanyabiashara unstable tufunge accont zao wakishindwa halafu mwishoni tubaki bila walipa kodi?
Ukisikia makusanya yapo juu ujue kuna mtu amechangia, safari hii ni wote kidogo kidogo.
3% ndio walipa kodi? Ile VAT iliyopo kny kila muamala unaofanya sio kodi? Kila mtu analipa kodi iwe directly au indirect. Ukiweka vocha tu kuna kodi hapo umelipia. Kitendo tu cha kununua kitu kwa mangi ambacho sio exempted with tax na wewe umelipia kodi. Huu mpango ulioletwa ni mpango tofauti na kodi walichofanya ni utapeli
Mmekabidhi mustakabali wa taifa kwa kina Babu Tale, Musukuma na Gwajima.
Bunge la ccm limekua kama kikao cha kikoba.
Haaaaa....Msema kweli ni mpenzi wa Mungu bwashee!
Mkuu hakuna tofauti hapo, hizo ni mbinu za kutofautisha maneno ili matamshi yaonekane tofauti lakini kitu ni kilekile, MWANACHI KUTOA FEDHA NA KUIPATIA SERIKALI KWA MATUMIZI YAKE.Kuna tofauti kati ya kodi na tozo bwashee!
Inawezekana wewe haya makodi na madude mengine yanayotuumiza watanzania hayakuhusu... Kaa kimyaWapinzani walitengeneza diversion ya hili jambo kwa kujua au kutojua.
Hata kama wapo nje ya Bunge lakini bado wakati haya yakifanyika Bungeni wao waliwekeza nguvu na muda kudai Katiba Mpya.
Huu ni ukosefu wa kujua nini Cha kusimamia na Kwa namna gani.
Tuna upinzani dhaifu Sana na usiokuwa na malengo.
Lakini si kuna kina Msukuma na wenzake... Na yule boss wao malkia wa mipasho... Hawa wengine walitucheleweshea maendeleo bhana.Walipo kuwa bungeni mkuliwa mnawatukana
Hahahaaaa!! Lisu, Mnyika na Zitto ni sawa na bunge zima bwashee!
Spika anakuwa Zungu.
Walipa kodi wakubwa ni wachache ila wanaendelea kukuzwa kila awamu. Mfanya biashara/Makampuni yanayoweza kutoa utlist b1 kila mwezi kwa kodi zake zote.Vyanzo vya kodi nchi ni vichache kiasi hicho?
Hakuna mtanzania asiyelipa kodi,iwe direct au indirectTunalipa kodi. 3% ya watanzania ndio waliokuwa wanalipa. Sasa hii ndio dawa yetu
Wengine kazi yao kudai serikali inawepe maendeleo. Hela za maendeleo zitatoka wapi? n
hatari sn mkuuLakini si kuna kina Msukuma na wenzake... Na yule boss wao malkia wa mipasho... Hawa wengine walitucheleweshea maendeleo bhana.