Pengo la Lissu, Mnyika na Zitto halijazibwa bungeni! Hizi tozo za kizalendo zisingepita bila marekebisho makubwa!

Tunalipa kodi. 3% ya watanzania ndio waliokuwa wanalipa. Sasa hii ndio dawa yetu
Wengine kazi yao kudai serikali inawepe maendeleo. Hela za maendeleo zitatoka wapi? n
Sio asilimia 3% Watu approx 500 ndo big tax payer. Hawa wengine huwezi wategemea maana ni unstable mpaka wakuzwe. Tunataka kodi ikusanywe kwa watu wachache mpaka wafungiwe account zao bank yaani au wakimbie tuhamie kwa hawa wafanyabiashara unstable tufunge accont zao wakishindwa halafu mwishoni tubaki bila walipa kodi?

Ukisikia makusanya yapo juu ujue kuna mtu amechangia, safari hii ni wote kidogo kidogo.
 
Kiukweli kilio cha wananchi huko mitaani kuhusu maumivu ya tozo za kizalendo au mshikamani kimekuwa kikubwa mno.

Wananchi wanawakumbuka Tundu Lisu, J J Mnyika na Zitto Kabwe na kusema hivi " vidume" vingekuwepo bungeni ama tozo hizi zisingepita au zingepita baada ya kufanyiwa marekebisho makubwa sana.

Wewe mdau unasemaje?
Walipo kuwa bungeni mkuliwa mnawatukana
 
Kiukweli kilio cha wananchi huko mitaani kuhusu maumivu ya tozo za kizalendo au mshikamani kimekuwa kikubwa mno.

Wananchi wanawakumbuka Tundu Lisu, J J Mnyika na Zitto Kabwe na kusema hivi " vidume" vingekuwepo bungeni ama tozo hizi zisingepita au zingepita baada ya kufanyiwa marekebisho makubwa sana.

Wewe mdau unasemaje?
Iko wazi na inajulikana kbs ✔️✔️ Ila sasa ngoja waje vijana wako MATAGANIST hapa uone moto wake 😂😂😂
 
Kiukweli kilio cha wananchi huko mitaani kuhusu maumivu ya tozo za kizalendo au mshikamani kimekuwa kikubwa mno.

Wananchi wanawakumbuka Tundu Lisu, J J Mnyika na Zitto Kabwe na kusema hivi " vidume" vingekuwepo bungeni ama tozo hizi zisingepita au zingepita baada ya kufanyiwa marekebisho makubwa sana.

Wewe mdau unasemaje?
Ukiacha unafiki unaongea ukweli
 
Tunalipa kodi. 3% ya watanzania ndio waliokuwa wanalipa. Sasa hii ndio dawa yetu
Wengine kazi yao kudai serikali inawepe maendeleo. Hela za maendeleo zitatoka wapi? n
3% ndio walipa kodi? Ile VAT iliyopo kny kila muamala unaofanya sio kodi? Kila mtu analipa kodi iwe directly au indirect. Ukiweka vocha tu kuna kodi hapo umelipia. Kitendo tu cha kununua kitu kwa mangi ambacho sio exempted with tax na wewe umelipia kodi. Huu mpango ulioletwa ni mpango tofauti na kodi walichofanya ni utapeli
 
Kwa hiyo wewe hutaki kulipa tozo? Sasa hao uliowataja endapo wangepinga kama ambavyo walikuwa wanapiga siku zote lakini zinapita ndio ingesaidia kupeleka maendeleo majimboni kwao?
 
Wapinzani walitengeneza diversion ya hili jambo kwa kujua au kutojua.

Hata kama wapo nje ya Bunge lakini bado wakati haya yakifanyika Bungeni wao waliwekeza nguvu na muda kudai Katiba Mpya.

Huu ni ukosefu wa kujua nini Cha kusimamia na Kwa namna gani.

Tuna upinzani dhaifu Sana na usiokuwa na malengo.
Kweli akili ni nywele kila mtu ana zake 😂😂😂. Yaan pamoja na kuwatoa kweny ubunge mpaka huko mtaani bado mnawashutumu tu kweny hili? Uko nje ya bunge huna ushawishi wa kimageuzi wa kupinga hoja flan. Ila upinzani nchi hii unatupiwa kila baya, mara utasikia wapinzan wametuchelewesha sana 🤣🤣🤣🤣👆
 
3% ndio walipa kodi? Ile VAT iliyopo kny kila muamala unaofanya sio kodi? Kila mtu analipa kodi iwe directly au indirect. Ukiweka vocha tu kuna kodi hapo umelipia. Kitendo tu cha kununua kitu kwa mangi ambacho sio exempted with tax na wewe umelipia kodi. Huu mpango ulioletwa ni mpango tofauti na kodi walichofanya ni utapeli
Sasa kama unajua hilo kodi ikiongezwa kidogo kuna shida gani? Kwani mahitaji yanapungua au kuongeza?

Wabunge wamepitisha kwa sababu wao ndio wanajua shida za barabara majimboni kwao,maji,afya na elimu .. unadhani hizo pesa zisingeelekezwa huko wangekubali?

Nyie mijitu ya Mjini hamjui kwamba Vijijini wamama wanakufa kwa uzazi Kisa barabara mbovu na kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya ,wanashinda kutwa nzima kutafuta maji wanayogombea na wanyama.,Kama kwamba haitoshi watoto wanasafiri umbali mrefu kufuata shule tena kwenye makorongo,hujamsikia Mtaka juzi?

Kwa hiyo unataka usitozwe hizo tozo Ili Hali iendelee, kwenye madini mnakopiga kelele Mwaka mzima mapato yake hayafiki hata bil.600 kwa aina zote za Madini .

Kazi imeshaanza👇

Screenshot_20210716-065729.png


Screenshot_20210716-065619.png


Screenshot_20210716-065108.png


Screenshot_20210716-065040.png
 
Kiukweli kilio cha wananchi huko mitaani kuhusu maumivu ya tozo za kizalendo au mshikamani kimekuwa kikubwa mno.

Wananchi wanawakumbuka Tundu Lisu, J J Mnyika na Zitto Kabwe na kusema hivi " vidume" vingekuwepo bungeni ama tozo hizi zisingepita au zingepita baada ya kufanyiwa marekebisho makubwa sana.

Wewe mdau unasemaje?
Kwani na Mzee Mgaya analipa Tozo?😅😅
 
Sasa kama unajua hilo kodi ikiongezwa kidogo kuna shida gani? Kwani mahitaji yanapungua au kuongeza?

Wabunge wamepitisha kwa sababu wao ndio wanajua shida za barabara majimboni kwao,maji,afya na elimu .. unadhani hizo pesa zisingeelekezwa huko wangekubali?

Nyie mijitu ya Mjini hamjui kwamba Vijijini wamama wanakufa kwa uzazi Kisa barabara mbovu na kusafiri umbali mrefu kufuata huduma za afya ,wanashinda kutwa nzima kutafuta maji wanayogombea na wanyama.,Kama kwamba haitoshi watoto wanasafiri umbali mrefu kufuata shule tena kwenye makorongo,hujamsikia Mtaka juzi?

Kwa hiyo unataka usitozwe hizo tozo Ili Hali iendelee, kwenye madini mnakopiga kelele Mwaka mzima mapato yake hayafiki hata bil.600 kwa aina zote za Madini .

Kazi imeshaanza

View attachment 1855566

View attachment 1855567

View attachment 1855568

View attachment 1855569
Mijitu ya mjini ndio hio hio kina mwigulu, raisi wako na wenzie. Wewe unasema habari za vijijini hiyo ni kazi yangu au ya serikali. Si kila siku tunaimbiwa nchi ni tajiri kwanini mje kuumiza wananchi. Wabunge kwanini wasingesema wakatwe wao pesa zitumike huko vijijini? Hizi tozo kwani wanakatwa wa mjini peke yake au unajitoa UFAHAMU TU??
 
Mijitu ya mjini ndio hio hio kina mwigulu, raisi wako na wenzie. Wewe unasema habari za vijijini hiyo ni kazi yangu au ya serikali. Si kila siku tunaimbiwa nchi ni tajiri kwanini mje kuumiza wananchi. Wabunge kwanini wasingesema wakatwe wao pesa zitumike huko vijijini? Hizi tozo kwani wanakatwa wa mjini peke yake au unajitoa UFAHAMU TU??
Serikali inakunya pesa za kutekeleza wajibu au lazima wewe ulipe ndio itekeleze? Lipa kodi acha kulia Lia hovyo
 
Back
Top Bottom