Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,283
- 33,889
Kwa tukio kubwa kama hili kuwa na ukimya kama huu kisanaa, hasa kwa nyimbo bora za maombolezo, Pengo aliloliacha Marehemu John Komba inaonekana kabisa halijazibika
Ndio .tumepokea salamu toka uingereza,kenya.orodha ni kubwa kwakwwli... mimi nauliza tu; inaelekea masaa 18 tangu taarifa rasmi za msiba wa mwana wa Afrika, mzalendo namba moja duniani; je, salamu za rambirambi kutoka duniani huko zimeanza kuwasili/pokelewa?
... EAC? SADC? AU? UN? EU? China? US?Ndio .tumepokea salamu toka uingereza,kenya.orodha ni kubwa kwakwwli
Zina ubora kama ule wa za John Komba!??Mbona zimeshatoka ngoma nyingi... Au ww hadi uwaone TOT!?
Daah umenikumbusha Comrade Capteni John Komba mwili nyumba.Kwa tukio kubwa kama hili kuwa na ukimya kama huu kisanaa, hasa kwa nyimbo bora za maombolezo, Pengo aliloliacha Marehemu John Komba inaonekana kabisa halijazibika.
Aisee!!Komba si walimua wao wenyewe, wataenda kukutana vizuri huko huko