Yupo hoi bin taaban,katulia keshajijua kama msukule.Mleta mada u khali gani kwa haya majibu?
Linapokuja swala lakuziongelea izi timu mbili kubwa apa bongo watu wanaongelea sana kishabikiiYaani leo hii Simba wakukodi vipindi vyote vya clouds fm ili wapigiwe promo ya tamasha lao, hii ni aibu kubwa sana!
Tangu jumatatu wiki hii vipindi vya leo tena na sports xtra havifanyiki studio bali vinafanyika mtaani tena kwenye matawi ya klabu ya Simba.
Inaonekana Mo amelipa hela nyingi sana ili tamasha litangazwe na Clouds ili kusudi lisidode, Haji Manara ameonekana pengo lake.
Simba bila Manara ni sawa na Nyumba bila baba