pilipili kichaa
JF-Expert Member
- Sep 3, 2013
- 17,651
- 13,706
Pengo nia askofu wangu, lkn mvuto na weledi wake haupo tena nafikiri ni umri umekwenda. Ni vzr angekaa kimya kulinda heshima yake.
Ndugu, mie ni mkatoliki tena wa jimbo la dsm, elewa kuwa pengo sio msemaji wa kanisa katoliki, na wala sio mkuu wa maaskofu wa Tz.Hamjamuelewa Pengo. Kasisitiza kuwa kuna utaratibu wa kanisa kuhusu kutoa matamko ya kisiasa. Sasa wapinga kila kitu wanakuja na mipash yao. Kwani pengo kasosea wapi? kwani Pengo kasema hataki katiba mpya?
Tumsifu Yesu kristo NduguNdugu, mie ni mkatoliki tena wa jimbo la dsm, elewa kuwa pengo sio msemaji wa kanisa katoliki, na wala sio mkuu wa maaskofu wa Tz.
AmenPengo nia askofu wangu, lkn mvuto na weledi wake haupo tena nafikiri ni umri umekwenda. Ni vzr angekaa kimya kulinda heshima yake.
Kwa mujibu wa taratibu za kanisa katoliki,askofu pengo sio msemaji wa kanisa,Msemaji ni Rais wa Baraza la maaskofu Tanzania,
Rais wa Baraza la Maaskofu ndio Bosi wa Maaskofu wote nchini na hata askofu pengo anakuwa yuko chini yake, pia kama askofu pengo hakiutumwa na Rais wa Baraza la Maaskofu,na yeye pia hana mamlaka ya kulisemea kanisa katoliki na alichosema ni maoni yake
Ukadinali wake ni kwa ajili ya kupiga kura kumchagua Papa tu,ila yeye akiwa Tanzania kicheo ni Askofu wa Jimbo la Dar es Salaam,anataka watu waone kwamba Ukadinali ndio Ukubwa wa kanisa,Mkubwa wa kanisa ni Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,na ni askofu wa Iringa Askofu Ngalalekumtwa na anayefatia kwa Cheo ni huyo Niwemugizi, Pengo yuko chini yake Rais wa Baraza
"first among equals" Pengo hamzidi Askofu yeyote kwa cheo,ni sawa na rafiki yangu sheikh mkuu wa mkoa wa Dar ajione mkubwa kuliko mashehe wa mikoa mingine
Mkuu, alikuwa hatoi msimamo wake ila alichokuwa akikifanya ni kutoa msimamo wa KANISA KATOLIKI kuhusiana na 'MAONI BINAFSI' ya Askofu Niwemugizi.Yeye ametoa maoni yake yeye kama yeye wala hujasema huo ndiyo msimamo wa kanisa.
Yeah mkuu. Huyu sasa kama mwanasiasa. Katiba ndio msingi wa taifa hata mzee Ibrahim Kaduma jana kasikika akisisitiza jambo hili.Huyu askofu hebu apambane na ya kanisani kwake haya ya katiba awaachie wanaoelewa umuhimu na uzito wake
Bado sana weweKama uko nje ya Kanisa Katoliki siyo mtu muhimu lkn kwa Wakatoliki bilioni 1.23 ni Mkuu wao na maamuzi yake yanaathiri maisha yao, hivyo usiunderestimate nguvu yake, kwa mfano mimi Bibi yangu Kijijini anasali kila siku kama Kardinali akisema kitu hawezi kuhoji wala kumpinga, kwa mfano Kardinali akimwambia achague CCM atafanya hivyo kwake yeye ni mtumishi wa Mungu sasa watu kama Bibi yangu wako wengine Tanzania!
Askofu Pengo anatumika vibaya na mwisho wa siku ataumbuka tuu,kwani unafiki haijawahi kuacha mtu salama
Wakuu, nionavo mie tatizo si akisemacho Pengo ila ni wale waliomuhoji kutaka afafanue kauli ya Askofu Niwemugizi. Ladba walitumwa ila ingekuwa jambo la busara kupata ufafanuzi wake yeye mwenyewe Askofu Niwemugizi.
Huyu dawa yake ni Askofu Gwajima tu!