DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Wanaukumbi.
Nimeamka mapema sana leo nikiwa na karedio kangu pembeni huku nachuma kahawa muda mfupi uliopita,sikujua kama nasikiliza RFA.
Ghafla nikawa nawaza bei na umuhimu wa kawaha miaka ile, kurejesha mawazo katika spika nikawa nasikia sauti ya mtu akiomba kura ya urais katika tangazo maalum bovu bovu hivi, nikajiuliza duh, mmasai siku hizi ana sauti kama ya Pombe?
Kuna maneno haya nimesikia,'mama ntilie, bodaboda, MABADILIKO YA KWELI, TWENDE NA SAFARI YA UHAKIKA' Kumbe ni sauti ya Magufuli.
Sasa yaonesha dhahiri CCM imezidiwa, na pengine mgombea ameshauriwa na kamati ya kampeni kuiga kila kitu cha Lowassa na Chadema kwa maana wanayojua wao.
Ukweli ulio mchungu ni kuwa Magufuli anazidi kujimaliza, kwani igaiga yake inampaisha Lowassa.
Kule Vunjo tayari ameshammaliza mgombea wa CCM
Nimeamka mapema sana leo nikiwa na karedio kangu pembeni huku nachuma kahawa muda mfupi uliopita,sikujua kama nasikiliza RFA.
Ghafla nikawa nawaza bei na umuhimu wa kawaha miaka ile, kurejesha mawazo katika spika nikawa nasikia sauti ya mtu akiomba kura ya urais katika tangazo maalum bovu bovu hivi, nikajiuliza duh, mmasai siku hizi ana sauti kama ya Pombe?
Kuna maneno haya nimesikia,'mama ntilie, bodaboda, MABADILIKO YA KWELI, TWENDE NA SAFARI YA UHAKIKA' Kumbe ni sauti ya Magufuli.
Sasa yaonesha dhahiri CCM imezidiwa, na pengine mgombea ameshauriwa na kamati ya kampeni kuiga kila kitu cha Lowassa na Chadema kwa maana wanayojua wao.
Ukweli ulio mchungu ni kuwa Magufuli anazidi kujimaliza, kwani igaiga yake inampaisha Lowassa.
Kule Vunjo tayari ameshammaliza mgombea wa CCM