Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,462
- 21,334
Najua utakuja na matatizo yake lakini leo naomba ujue matatizo ayakusaidii kusimamisha
kumweka mkeo awe bora kuliko wengine..ndio maana ukaacha kuchukua yale ya lasvegas
na kukimbilia nae kanisan..,kuna wanaume wenngi wakiwa nje wanatumika sana sana
wengi wako radhi kutoa hata laki kwenye ma club ya pombe ili radi watu wawaone
lakini sio kumnunulia mkewe hata khanga ,kitenge jamani hata gold za kupaka basi sh 5000 pale
kariakoo ukiitaji wapi ni pm..m sisemi amuwwapendezeshi kama uko kwenye huo mstari basi
ongeza juhudi..wanawake wengi tena wengine waume zao wana uwezo mkubwa tu unakuta njiani
kama wajawazito..maana mjamzito ukimuuliza mbona hivi anakwambia kwani niko mwenyewe ingawa
kwa ma didy aikuwa hivyo tena ujauzito kupendeza ilikuwa 105%
atutaki kukta manywele yako ovyo ati mzee mambo yake ovyo huku anashinda rosegarden plss
kwaakuwa ni vigumu kujua mfuko wako basi MUNGU mwenye rehema alienipa mda huu
kuwapa ujumbe viumbe wa Mungu walio duniani basi ni vyema tusiache kuwapendezesha waume zetu
Mungu awabariki
kumweka mkeo awe bora kuliko wengine..ndio maana ukaacha kuchukua yale ya lasvegas
na kukimbilia nae kanisan..,kuna wanaume wenngi wakiwa nje wanatumika sana sana
wengi wako radhi kutoa hata laki kwenye ma club ya pombe ili radi watu wawaone
lakini sio kumnunulia mkewe hata khanga ,kitenge jamani hata gold za kupaka basi sh 5000 pale
kariakoo ukiitaji wapi ni pm..m sisemi amuwwapendezeshi kama uko kwenye huo mstari basi
ongeza juhudi..wanawake wengi tena wengine waume zao wana uwezo mkubwa tu unakuta njiani
kama wajawazito..maana mjamzito ukimuuliza mbona hivi anakwambia kwani niko mwenyewe ingawa
kwa ma didy aikuwa hivyo tena ujauzito kupendeza ilikuwa 105%
atutaki kukta manywele yako ovyo ati mzee mambo yake ovyo huku anashinda rosegarden plss
kwaakuwa ni vigumu kujua mfuko wako basi MUNGU mwenye rehema alienipa mda huu
kuwapa ujumbe viumbe wa Mungu walio duniani basi ni vyema tusiache kuwapendezesha waume zetu
Mungu awabariki