Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa zawadi ya uhai kwangu binafsi, kwa familia yangu na kwa kila mtu kwa ujumla. Pia, naliombea taifa langu la Tanzania dhidi ya ukosefu wa Amani na mabaa ya asili. Pia, namuombea Rais wetu Mhe. John Magufuli na serikali kwa ujumla katika kutimiza majukumu yake ya kuliongoza taifa hili kwa mafanikio makubwa na uelekeo mzuri.
Nikijikita moja kwa moja kwenye mada baada ya hiyo shukrani na maombi mafupi. Napenda kuona kuwa mzee Lowassa amarejea tena kundini na akiwa na furaha tele na matumaini makubwa ya kuihakikishia CCM ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao. Kutuletea zawadi ya kura milioni 6 ambazo watanzania walimpgia wakati wa uchaguzi mkuu uliopita ni jambo la shukrani.
Shauku ya kila mtanzania hasa mwanaCCM ni kuona zile kura milioni 6 ambazo Lowassa alizoziingiza upande wa pili(UKAWA) mwaka 2015 ambazo ziliifanya CCM kutopata ushindi wa kishindo ila kwa zimekuwa ni ‘ investment’ nzuri kwa sababu zinarudi nyumbani na huo uwekezaji unatuhakikishia faida nzuri ya gawio na ndicho watanzania wanataka kuona kuwa ‘ is Lowassa an asset or liability to CCM ?
Kwa mtazamo wangu Lowassa ni ‘asset’ kwa CCM kwa sababu CCM haikupoteza kitu Lowasaa alipoondoka na hata alipoondoka ikaweza kushinda lakini kurejea kwake ni ‘ asset’ nzuri kwa sababu anatuletea mavuno makubwa ya kondeni alipoenda kukusanya na hivyo kuongeza idadi ya wapiga kura na wanachama wa CCM ambayo ndio ‘ Asset’ kwa chama cha siasa.
Hivyo, napenda kuchukua nafasi hii kutoa pendekezo langu juu ya kufanya ujio wa Lowassa CCM kuwa ‘asset’ kwa kuanzisha kampeni ya kitaifa kwa kila kitongoji, kijiji, kata, tarafa , wilaya , mkoa na kanda kushawishi na kuhimiza wle waliompigia kura lowassa mwaka 2015 kuzirejesha kura hizo nyumbani. Pia, kuwashawishi wajiunge na CCM kama walikuwa si wanaCCM au wanachama wa chochote cha siasa.
Kampeni hiyo iwe na lengo la kujenga chama na sio kumjenga mtu na Lowassa awe mstari wa mbele kwenye kampeni hiyo ya kiaifa akielezea umuhimu wa kuirejesha kura yake nyumbani kwa waliompigia kura . Kampeni ihusishe watu wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kushawishi watu kuzirudisha hizo kura milioni 6.
Ni ukweli usiopingika kwamba robo tatu ya kura za Lowassa mwaka 2015 ni za kwake na hiyo robo ndizo za ukawa, hivyo hizo kura million 6 zinatakiwa kurudi kwa mwenye nazo na waliompa hizo kura washawishiwe kuzirudisha.
Nikijikita moja kwa moja kwenye mada baada ya hiyo shukrani na maombi mafupi. Napenda kuona kuwa mzee Lowassa amarejea tena kundini na akiwa na furaha tele na matumaini makubwa ya kuihakikishia CCM ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu ujao. Kutuletea zawadi ya kura milioni 6 ambazo watanzania walimpgia wakati wa uchaguzi mkuu uliopita ni jambo la shukrani.
Shauku ya kila mtanzania hasa mwanaCCM ni kuona zile kura milioni 6 ambazo Lowassa alizoziingiza upande wa pili(UKAWA) mwaka 2015 ambazo ziliifanya CCM kutopata ushindi wa kishindo ila kwa zimekuwa ni ‘ investment’ nzuri kwa sababu zinarudi nyumbani na huo uwekezaji unatuhakikishia faida nzuri ya gawio na ndicho watanzania wanataka kuona kuwa ‘ is Lowassa an asset or liability to CCM ?
Kwa mtazamo wangu Lowassa ni ‘asset’ kwa CCM kwa sababu CCM haikupoteza kitu Lowasaa alipoondoka na hata alipoondoka ikaweza kushinda lakini kurejea kwake ni ‘ asset’ nzuri kwa sababu anatuletea mavuno makubwa ya kondeni alipoenda kukusanya na hivyo kuongeza idadi ya wapiga kura na wanachama wa CCM ambayo ndio ‘ Asset’ kwa chama cha siasa.
Hivyo, napenda kuchukua nafasi hii kutoa pendekezo langu juu ya kufanya ujio wa Lowassa CCM kuwa ‘asset’ kwa kuanzisha kampeni ya kitaifa kwa kila kitongoji, kijiji, kata, tarafa , wilaya , mkoa na kanda kushawishi na kuhimiza wle waliompigia kura lowassa mwaka 2015 kuzirejesha kura hizo nyumbani. Pia, kuwashawishi wajiunge na CCM kama walikuwa si wanaCCM au wanachama wa chochote cha siasa.
Kampeni hiyo iwe na lengo la kujenga chama na sio kumjenga mtu na Lowassa awe mstari wa mbele kwenye kampeni hiyo ya kiaifa akielezea umuhimu wa kuirejesha kura yake nyumbani kwa waliompigia kura . Kampeni ihusishe watu wenye uwezo mkubwa wa kujenga hoja na kushawishi watu kuzirudisha hizo kura milioni 6.
Ni ukweli usiopingika kwamba robo tatu ya kura za Lowassa mwaka 2015 ni za kwake na hiyo robo ndizo za ukawa, hivyo hizo kura million 6 zinatakiwa kurudi kwa mwenye nazo na waliompa hizo kura washawishiwe kuzirudisha.