Pendekezo Wabunge ambao awajafikisha miaka 55 wakistaafu wapewe Fao la kutokuwa na Ajira

Shepherd

JF-Expert Member
Dec 14, 2012
2,416
1,643
Kufuatia kuwepo tetesi, na uwezekano wakuja,na kuboreshwa kwa utaratibu wa kuchukua mafao pale mtu anapokoma ajira yake,Ingependeza sana watunga sera wetu na wapitisha mswada wetu, au kwa lugha nyingiwe Wawakilishi wetu,kwa wale ambao awajafikisha miaka 55 wanapostaafu au kufurushwa katika nafasi zao za ubunge na kisiasa,basi wasipewe mafao yao badala yake wapewe FAO LA KUTOKUWA NA AJIRA mpaka watakapopata ajira mbadala.Wao watakuwa mfano na kielelezo kizuri cha sheria na miswada wanayoipitisha.FAO LA KUTOKUWA NA AJIRA litawasaidia wasiteseke wakati wakitafuta ajira mbadala au wakingojea kufikiwa umri wa miaka 55.Kwa dhati pendekezo hili liingizwe kwenye hansard ya mchakato huwo kama aupo,tunawapenda sana wawakilishi wetu ambao wengine tunawaona baada ya miaka mitano ya ubunge wao majimboni.
 
wanafiki sana wale.Watanyamaza kabisa na wataipitisha iyo sheria itakayowamaliza kabisa wastaafu na familia zao
 
CCM wazushi sana

Wanafikiria ubinafsi tu....matumbo yao na unafiki

Wanasahau, watoto, ndugu, jamaa na marafiki

Pesa yakwetu,
jasho lakwetu,
tulikatwa nisisi

Vipi unipangie utaratibu wakuzichukuwa fedha zangu?

Nikae nikiteseka ilhali mapesa yangu umejimilkisha....huu utawalagani jamani?
 
Hakuna sehemu ambayo ukifanya kazi preasure inapanda preasure inashuka kama kwa choli choli,sasa yeyote anakuambia ajira koma nenda nyumbani sina shahara lipa veve mauzo pungua sana na biashara ngumu kodi mingi mingi sana.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom