Pendekezo: Umri wa vijana kule UVCCM, Bavicha na Ngome ya Vijana ACT uwe ni miaka 15 hadi 30

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,607
141,429
Najua UVCCM ukomo wa umri wa kijana na miaka 35, huu ni umri mkubwa sana yaani mdada anaweza kuwa na mjukuu lakini yuko UVCCM.

Niombe tu Bavicha, UVCCM na Ngome ya vijana ACT wazalendo wazingatie umri wa kijana ni miaka 15 hadi 30.

Ole sabaya kwa mfano siyo kijana.

Jumaa kareem!
 
Najua UVCCM ukomo wa umri wa kijana na miaka 35, huu ni umri mkubwa sana yaani mdada anaweza kuwa na mjukuu lakini yuko UVCCM.

Niombe tu Bavicha, UVCCM na Ngome ya vijana ACT wazalendo wazingatie umri wa kijana ni miaka 15 hadi 30.

Ole sabaya kwa mfano siyo kijana.

Jumaa kareem!

Leo ni siku ya hukumu ya Kamanda wako,najua unaumia roho sana.

Hii tabia ya Lumumba kuwakana makamanda wao wanapokuwa kwenye matatizo tafadhali ikome.

Kamanda Hamza mlimkana hata maziko yake uwakilishi ulikuwa mwenbamba sana.Hadhi ya Hamza Mwenyekiti,Katibu Mkuu Taifa walistahili kushiriki.Kama walikuwa busy hata Mwenezi Taifa Bwana Shaka angewemo.
 
Najua UVCCM ukomo wa umri wa kijana na miaka 35, huu ni umri mkubwa sana yaani mdada anaweza kuwa na mjukuu lakini yuko UVCCM.

Niombe tu Bavicha, UVCCM na Ngome ya vijana ACT wazalendo wazingatie umri wa kijana ni miaka 15 hadi 30.

Ole sabaya kwa mfano siyo kijana.

Jumaa kareem!
Ujana iwe ni miaka 18-25 basi, kuanzia hapo ni mtu mzima
 
Leo ni siku ya hukumu ya Kamanda wako,najua unaumia roho sana.

Hii tabia ya Lumumba kuwakana makamanda wao wanapokuwa kwenye matatizo tafadhali ikome.

Kamanda Hamza mlimkana hata maziko yake uwakilishi ulikuwa mwenbamba sana.Hadhi ya Hamza Mwenyekiti,Katibu Mkuu Taifa walistahili kushiriki.Kama walikuwa busy hata Mwenezi Taifa Bwana Shaka angewemo.
CCM hawana rafiki wa kudumu mzee
 
Tufanye tafakuri hapa
JamiiForums-2019525786.jpg
 
Back
Top Bottom