Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
Ni wazi hakuna anebisha ushupavu wa dada (mh Halima mdee) njee na ndani ya Bunge.
ni mmoa wa wabunge wa kwanza kuchukua jimbo la Dar Es kama mgombea mwanamke kutoka kambi ya upinzani.
ni mmoja ya akinadada waliotayari kujitolea hali na mali kuitumika cdm na taifa.
kwa kweli kila anaemjua mdee alivyo kuitumikia tz na cdm ni wazi ni moja ya wanawake wanaoaminiwa ndani ya CDM.
kama kupimwa uaminifu wake umefikia 99 asillimia.
sijawahi kusikia akukrupushana au hata kutuhumiwa ndani ya Cdm kuhusu usaliti
NAPENDEKEZA TU bila ya shindikizizo. apewe moja ya nafasi 2 alizonazo zito
sababu kuu
i) kumpunguzia zitto mzigo wa kutumikia vyeo 2. Naibu katibu mkuu na naibu mkuu bungeni
kwa kuwa tayari dada huyu amewiva kisiasa na damu ikiwa inachemka ili kuwavuta akina dada/ mama kuhamia chadema kwa wingi
ni mmoa wa wabunge wa kwanza kuchukua jimbo la Dar Es kama mgombea mwanamke kutoka kambi ya upinzani.
ni mmoja ya akinadada waliotayari kujitolea hali na mali kuitumika cdm na taifa.
kwa kweli kila anaemjua mdee alivyo kuitumikia tz na cdm ni wazi ni moja ya wanawake wanaoaminiwa ndani ya CDM.
kama kupimwa uaminifu wake umefikia 99 asillimia.
sijawahi kusikia akukrupushana au hata kutuhumiwa ndani ya Cdm kuhusu usaliti
NAPENDEKEZA TU bila ya shindikizizo. apewe moja ya nafasi 2 alizonazo zito
sababu kuu
i) kumpunguzia zitto mzigo wa kutumikia vyeo 2. Naibu katibu mkuu na naibu mkuu bungeni
kwa kuwa tayari dada huyu amewiva kisiasa na damu ikiwa inachemka ili kuwavuta akina dada/ mama kuhamia chadema kwa wingi