D Nyamhanga
Member
- Sep 8, 2021
- 15
- 2
Na hilo ndo tatizo kubwa kwa wakulima weng,we must come with real solution katika huo umoja wetu,nilazima tujue njia nzuri za kuuza na nnan haswa tutamuuzia hicho tutakacho kuwa tunakilima,soko lbaweza kuwepo ckatai ila kama hatutaweka mikakati mzuri kuhusu masoko tutaisshia kupata hasara.