Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,794
- 808
Mkuu@Kobe umeongea jambo la maana sana especially ulipoigusia OFM, wao wako busy kufukunyua watu wanaopeana raha zao madanguroni huko ambazo kwa kiasi kikubwa hazigharimu uhai wa binadamu wasio na hatia kama ilivyo kwa haya mauaji ya Albino baada ya yale ya vikongwe kupungua.
Kitendo cha OFM kukaa kimya kinatupa mashaka juu ya credibility ya wamiliki na wahariri, hawayaoni haya? au wananufaika vipi na haya matukio mbona hawayasemei?
Inawezekana kuna Siri kubwa manake haiingii akilini kabisa ishu kubwa kama hii kuchuliwa kiwepesi mamna hiyo tunapata aibu sana ugenini tunaulizwa sana kuhusu Albino kwanini tunafanya mauaji dhidi yao. Dah kwa kweli ni aibu sana viongozi kutwa kucha kuimba Amani Amani nchi haina Amani kwa RAIA wengine.