TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,889
- 11,285
Kwa kweli ndugu zangu wana JF hali kwa ndugu zetu Albino ni mbaya na inasikitisha,hebu angalia unyama huu hapa: MICHUZI
Thanks Balantanda;
Nimeona zile picha, hakika hakuna cha kufananisha katika maisha niliyoishi. Nakumbuka mwaka 1996 nikiwa MUCHS niliingia muchwari nikakuta hali mbaya ya vibaka wameiva, pia nilishuhudia ya bomu la ubalozi, na ndugu kadhaa na watu baki majeruhi... LAKINI HII HAISEMEKI
ROHO YANGU INAUMIA SANA NA SIJUI TUNAKWENDA WAPI
Halafu najaribu kukumbuka kale ka-graphic alikoonyesha M.M.M. Mwanakijiji alipokua akimpinga Pinda ndio kabisaa.... Hizi burger na coucil houses zinatufanya tujione ndio zaidi
I wish ningekua bado Silver Spring au Lewsham