Pendekezo: St. Francis Mbeya anzisheni elimu ya juu ya Sekondari

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
Sio Mara ya kwanza kwa shule hii kuwa kinara wa kufaulisha wanafunzi wake katika kiwango sawa na cha lami

Ni kawaida ya St. Francis kutuacha midomo wazi tunaposkia matokeo yao ya form four kwa viwango vya ufaulu ambavyo vinaweza kukufanya udhani ya kwamba ni shule ya watoto malaika

Mwaka huu pekee shule ina division one za single digits (7,8 na 9) ambazo zimetuacha hoi....unaambiwa watoto wa kike 72 kati ya 91 sawa na asilimia 79% waligonga single points bila ya Huruma huku wote 91 wakigonga division one KUDADADEKI!!!!!

Sasa ishu inakuja kwamba kwanini hii shule wasianzishe form six kabisa maana inaonekana kabisa uwezo wanao.
 
Hiki hiki cha "hapa kazi tu"
Kwani vipi mkuu ?!

Mkuu sisters ni wazuri. Jaribu Holly family girls uone . Hutajuta kupoteza ml. 9 kwa miaka minne na binti atajivunia ulichomfanyia. Pili wanawafundisha kazi za mikono (maisha). Hawadekezi watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu. Huko kwenye kusomesha mm bado sana. Ndo kwanza nataka niingie kwenye uzazi
 
Hiki hiki cha "hapa kazi tu"
Kwani vipi mkuu ?!

Mkuu sisters ni wazuri. Jaribu Holly family girls uone . Hutajuta kupoteza ml. 9 kwa miaka minne na binti atajivunia ulichomfanyia. Pili wanawafundisha kazi za mikono (maisha). Hawadekezi watoto.

Sent using Jamii Forums mobile app

So, ada yao ni around 2 mil kwa mwaka?? hiyo ni boarding au day??
Kwenye malezi hapo ndipo napowapendea
 
Wanaweza anzisha elimu ya Alevel halafu wakapotea kwenye ramani completely hata top 50 wasiwemo. Hao wameridhika na hiyo Olevel na wanaitendea haki usiwapangie la kufanya.
 
Back
Top Bottom