Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ha ha haaaa, kuna jamaa walikuulizia hapa juzi ikaonekana umehamia MMU kuchekacheka na akina Ashadii, FL na warembo wengine baada ya Nape kusitisha malipo kwa kuwa hakukuwa na propaganda. Now sasa tunaenda Arumeru najua utakuwa umeresume duty na jina lako limeingia kwenye Payroll ya Nape again. Hongera sana broda, mjini ndio tunaishi kwa magumashi namna hiyo kamaaa.Kumbe nakuumiza kichwa eeh!! Powle sana...
Wapendwa wa Chadema,
Mimi naomba Dr Slaa awanie ubunge Arumeru kusudi arudi Bungeni kuweka nguvu mpya
Keshachoka kisiasa huyu..
Kwa sasa tunahitaji dam mpya za zenye nguvu bungeni na kwenye ulingo wa siasa!
Sio vibaya Slaa, akigombea ubunge Arumeru, mbona Mbowe nae aligombea urais akashindwa vibaya hakaamua kujisalimisha kwenye ubunge.
Kama Slaa, anawaza kuwa Rais wa Tanzania ni kujidanganya najua Pro-Chadema JF mtachukia mie kusema haya maneno lakini huo ndio ukweli, bora ajitose Arumeru.
Sio vibaya Slaa, akigombea ubunge Arumeru, mbona Mbowe nae aligombea urais akashindwa vibaya hakaamua kujisalimisha kwenye ubunge.
Kama Slaa, anawaza kuwa Rais wa Tanzania ni kujidanganya najua Pro-Chadema JF mtachukia mie kusema haya maneno lakini huo ndio ukweli, bora ajitose Arumeru.
Mkuu nipe mawazo yako.Unadhani Arumeru kutakuwa na siasa chafu za udini kama tulivyoshuhudia Uzini na Igunga?
Mbona Shibuda, mbowe,mrema na mwandosya walihi kugombea huo Urais wakadunda wakaenda kwenye ubunge
Mkuu Molemo,
Ebu tujadili kwanza bila kuweka neno udini, hatuwezi kuhukumu kitu ambacho hakijatokea kama Arumeru kutakuwa na udini tutajadili humu JF mkuu.
Tusianze kutumia hisia...
Wewe na akina nani mnaotaka Slaa awe president!?ila 'vijana' wasira, lukuvi na ba mwanaasha bado hawajachoka?
Tunataka Dr. Slaa awe president hata kwa 1 term, ili tuwakomeshe m.a.gamba nyie!
magamba's yaliyoshidwa kukoboka.wakina nani sasa ambao watake wasitake nchi mtachukua !
wala usihangaike mkuu, DR. ni mtu makini sana na ndiyo maana anawanyima usingizi kila kukicha wanajaribu kutafuta jambo kumwondolea umaarufu ila cha ajabu ndiyo wanamwongezea tu; mambo haya anapanga mwenyezi wacha wahangaike. Kinachowauma zaidi Dr anapendwa na wananchi zaidi ya 80% kote nchini sasa hilo ndiyo linawachanganya kabisaa -- nafikiri cha msingi ni kuanza kutafuta mtu wa kuchapisha zile karatasi za kura - sasa hvi zitoke china. :lol:Hi thread imeanzishwa, na inashabikiwa, na maadui wa CDM. Wanataka Slaa aingie kwenye shindano la Arumeru ili wammalize kwa kutumia Tume ya Uchanguzi. Wanajua wakimmaliza Arumeru, hataweza kufurukuta tena 2015 kwenye Urais au hata Ubunge.
Nadhani Slaa ajikite kwenye mambo ya Katiba Mpya zaidi. Kwa sasa, CDM walio bungeni wanamwakilisha vya kutosha. Kwanza akirudi bungeni na kuanza kuongea kama akina Lissu na Mnyika atapotenza muonekano wake wa ki-Rais.
pia Mh Mbowe aliwahi kugombea urais....mi naona anaweza kugombea,hakuna sheria inayozuia1.Dr Slaa ni rais wetu wa moyoni , so rais hagombei ubunge
2.Mrema aligombea urais na sasa ni mbunge.