Pendekezo: Serikali ya Tanzania ifanye Mabadiliko kwenye Minority Age law.

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,948
18,648
Kwa kawaida, Raia yeyote mwenye miaka 18 nakuendelea huruhusiwa kushiriki uchaguzi yani anahaki ya kupiga kura na kuchagua kiongozi anaye muelewa. Hii ni kawaidi hata kwenye nchi zingine zilizoendelea na huu utaratibu umekuwepo toka zamani.

Ila tunabidi tutambue kuwa dunia ni dynamic yani mambo yanabadilika kila siku. Kijana wa miaka 18 wa sasa huwezi mlinganisha na yule wa karne ya 19. Sasa hivi unakuta kijana anamiaka 17 yupo chuo (university au collage). Zamani wa miaka 18 unakuta hajamaliza hata darasa la saba. Wenzetu china mtu anapata degree ya kwanza akiwa na miaka 18 sasa. Kwahyo aliingia college akiwa na miaka 14.

Uwezo wa kufikiri na kujitambua kwa vijana wa sasa sio kama wa kipindi kile. Sasa kijana ni mdogo anauwezo wa kufanya mambo makubwa. Hata elimu pia imeongeza mental capacity ya vijana wa karne ya sasa.

Miaka 18 ndyo hutumika kama general minority age kwa dunia nzima. Lakini kunabaadhi ya nchi wameanza badili minority age law. Kwa mfano Albania sasa ni miaka 14. Napel ni 16.

Ningependa kutoa wito hata kwa serikali yetu kulitazama hili swala. Serikali ipunguze minority age angalau hata mpaka miaka 15. Kijana mwenye miaka 15 wa kitanzania anakuwa tiyari na elimu ya secondary. Mtu wa hivi anajitambua vizuri sana. Naimani kwa serikali yenye nia nzuri ya kuwekeza kwa vijana ambao ni taifa la kesho italitazama hili swala kwa jicho la tatu.

Kijana wa miaka 15 anauwezo wakupiga kura na kuchagua kiongozi amtakaye.

Hivyo hivyo ningependa pia kutoa pendekezo kuhusiana wale wenye umri ulioenda yani "Old Age" au "senescence" ikimaanisha kundi la wale waliofika stage ya mwisho ya maisha yao. Kwa kawaida nchi nyingi za africa old age huanzia miaka 60 nakuendelea. Wenye miaka 60 hadi 69 ni "early old age". 70 had 79 ni "middle old age" na 80+ ni "oldest old age"

Kwa hali ya sasa watanzania wenye miaka 70 nakuendelea anakuwa kaisha choka kweli si kimwili hata kiakili. Kuna sheria kwa mfano zile za mikataba zinatoa consideration kwa watu wenye umri ulioenda. Hawa unakuta wanakuwa considered kama vile wanalack mental capacity to contract.

Kama mahakama inawakonsider wale wazee hasa waliopo kwenye middle old age nakuendelea kama wanalack "mental capacity" to contract kwanini serikali nayo isiwachukulie nao pia kuwa hawana mental capacity kama minor age ambao hawaruhusiwi kupiga kura?

Nacho taka kumaanisha hapa ni kuwa vijana wapewe uzito mkubwa kuliko wazee kwenye mambo ya kitaifa kama kwenye uchaguzi wa viongozi wao. Vijana ndyo taifa la kesho. Wazee wao hawanamalengo yeyote zaidi ya kusubiria siku yao na kuingia kaburini.

Nawakirisha hoja. Karibuni tuchangie mawazo.

Update.
Wenzetu wakenya wameanza huu mchakato pia. Leo bunge limejadili.wanataka kushusha hadi 16.
98c1260c0e1a64cce60d805d52bcdb35.jpg
 
Kwa kawaida, Raia yeyote mwenye miaka 18 nakuendelea huruhusiwa kushiriki uchaguzi yani anahaki ya kupiga kura na kuchagua kiongozi anaye muelewa. Hii ni kawaidi hata kwenye nchi zingine zilizoendelea na huu utaratibu umekuwepo toka zamani.

Ila tunabidi tutambue kuwa dunia ni dynamic yani mambo yanabadilika kila siku. Kijana wa miaka 18 wa sasa huwezi mlinganisha na yule wa karne ya 19. Sasa hivi unakuta kijana anamiaka 17 yupo chuo (university au collage). Zamani wa miaka 18 unakuta hajamaliza hata darasa la saba. Wenzetu china mtu anapata degree ya kwanza akiwa na miaka 18 sasa. Kwahyo aliingia college akiwa na miaka 14.

Uwezo wa kufikiri na kujitambua kwa vijana wa sasa sio kama wa kipindi kile. Sasa kijana ni mdogo anauwezo wa kufanya mambo makubwa. Hata elimu pia imeongeza mental capacity ya vijana wa karne ya sasa.

Miaka 18 ndyo hutumika kama general minority age kwa dunia nzima. Lakini kunabaadhi ya nchi wameanza badili minority age law. Kwa mfano Albania sasa ni miaka 14. Napel ni 16.

Ningependa kutoa wito hata kwa serikali yetu kulitazama hili swala. Serikali ipunguze minority age angalau hata mpaka miaka 15. Kijana mwenye miaka 15 wa kitanzania anakuwa tiyari na elimu ya secondary. Mtu wa hivi anajitambua vizuri sana. Naimani kwa serikali yenye nia nzuri ya kuwekeza kwa vijana ambao ni taifa la kesho italitazama hili swala kwa jicho la tatu.

Kijana wa miaka 15 anauwezo wakupiga kura na kuchagua kiongozi amtakaye.

Hivyo hivyo ningependa pia kutoa pendekezo kuhusiana wale wenye umri ulioenda yani "Old Age" au "senescence" ikimaanisha kundi la wale waliofika stage ya mwisho ya maisha yao. Kwa kawaida nchi nyingi za africa old age huanzia miaka 60 nakuendelea. Wenye miaka 60 hadi 69 ni "early old age". 70 had 79 ni "middle old age" na 80+ ni "oldest old age"

Kwa hali ya sasa watanzania wenye miaka 70 nakuendelea anakuwa kaisha choka kweli si kimwili hata kiakili. Kuna sheria kwa mfano zile za mikataba zinatoa consideration kwa watu wenye umri ulioenda. Hawa unakuta wanakuwa considered kama vile wanalack mental capacity to contract.

Kama mahakama inawakonsider wale wazee hasa waliopo kwenye middle old age nakuendelea kama wanalack "mental capacity" to contract kwanini serikali nayo isiwachukulie nao pia kuwa hawana mental capacity kama minor age ambao hawaruhusiwi kupiga kura?

Nacho taka kumaanisha hapa ni kuwa vijana wapewe uzito mkubwa kuliko wazee kwenye mambo ya kitaifa kama kwenye uchaguzi wa viongozi wao. Vijana ndyo taifa la kesho. Wazee wao hawanamalengo yeyote zaidi ya kusubiria siku yao na kuingia kaburini.

Nawakirisha hoja. Karibuni tuchangie mawazo.

Mimi nilidhani unataka umri uongezwe kumbe upungue ukwei ni kwamba japokuwa vijana wengi wanaonekana kuwa wamesoma lakini uwezo wa akili zao ni mdogo sana ukilinganisha na wale wa karne ya 19 kuanzia ngazi ya ndani ya familia wanapwaya zamani mtu wa miaka ishirini na tano alikuwa na uwezo wa kumtunza mke na watoto wake (KIPIMO CHA UWEZO WA AKILI YA KIJANA ) lAKINI sasa hivi jambo hilo haliwezekani zaidi ya kutunga sababu lukuki za kushindwa na lawama kibao kwa serikali kwa hilo moja tu linanifanya nisiwaamini vijana kuwapa majukumu makubwa ila baadhi yao kwenye kundi hilo hasa waliobahatika kusoma seminari wana uwezo mkubwa wa uongozi na hawana mihemko ya mafanikio kwamba leo nina hiki mtaa wa saba watanikoma.
 
Mimi nilidhani unataka umri uongezwe kumbe upungue ukwei ni kwamba japokuwa vijana wengi wanaonekana kuwa wamesoma lakini uwezo wa akili zao ni mdogo sana ukilinganisha na wale wa karne ya 19 kuanzia ngazi ya ndani ya familia wanapwaya zamani mtu wa miaka ishirini na tano alikuwa na uwezo wa kumtunza mke na watoto wake (KIPIMO CHA UWEZO WA AKILI YA KIJANA ) lAKINI sasa hivi jambo hilo haliwezekani zaidi ya kutunga sababu lukuki za kushindwa na lawama kibao kwa serikali kwa hilo moja tu linanifanya nisiwaamini vijana kuwapa majukumu makubwa ila baadhi yao kwenye kundi hilo hasa waliobahatika kusoma seminari wana uwezo mkubwa wa uongozi na hawana mihemko ya mafanikio kwamba leo nina hiki mtaa wa saba watanikoma.
Sasa wewe uwezo wa mtu unaupima kwa kuweka mwanamke ndani. Hebu nenda vijijini hasa kwa wasukuma ujionee. Vijana miaka 15 anapewa ngombe na baba yake anaoa tena anajenga kibanda cha nyasi kwenye shamba la baba yake wanaishi na wanazaa watoto na maisha yanasonga. Hayo ndyo unaona ni maisha?
 
Mkuu hoja yako ina mashiko ila kuna vitu sikubaliani navyo katika huu uzi.

1. Kuhusu wazee kutambulika kama wanalack ''mental capacity'' so wasipewe kipaumbele kwenye issue ya kuchagua viongozi hapo hapana. Kwa sababu wazee wanakuwa na historia nzuri ya wapi nchi ilipotoka mpaka ilipofikia na wanajua kipi kilichopelekea nchi ifike hapo ilipo.

Kama kiongozi aliyepita alishindwa au alifanikiwa wao wanajua sababu zote za hayo matokeo ila kinachopelekea kushindwa kufanya kwa maamuzi tofauti na yale ambayo kijana wa kisasa anayahitaji ni ule upenzi walionao kwa hao viongozi wao.

2.Kwa kijana mwenye umri wa miaka 15 kwa Tanzania labda kwa wale waishio mijini tena wapate elimu kwenye shule za kisasa sio hizi za kata. Vijana katika umri huo wengi wao bado hawajachangamka kwenye maamuzi makubwa hasa ya kuchagua viongozi wengi wao watakuwa wanafuata mkumbo tu.

Vichwani mwao wanakuwa bado hawajui kuchambua sera za viongozi na nia zao katika mustakabali wa taifa ila wataangalia na kushabikia kama mambo ya mipira tu wakati wanaharibu maisha yao au wanayajenga bila wao kujua.

Vijana katika nchi za wenzetu wanajengwa na kuandaliwa viziru kulingana na mitaala ya elimu yao bila kuchagua tabaka fulani litapata kiwango gani cha elimu so unakuta majority katika huo umri wanakuwa na elimu nzuri hata kujenga hoja na kuhoji pale kiongozi muomba ridhaa inapotoa sera za mashaka anaweza. Lakinii hii elimu yetu bure kwa kila mtanzani inawagawa hawa watoto wa masikini wale wa matajiri wanaosoma kizungu . Hawa vijana hata ukiwaweka katika kundi moja then uwasikilize uwezo wao wa kujieleza utaona kabisa vijana wa shule za wanauwezo mdogo sana.

Mbaya zaidi ndio waliopo kwenye kundi kubwa sana ni hawa waliopo kwenye shule za kata so tukisema hii hoja ipitishwe tutapata hasara sana.

3.Kuhusu hawa wazee wenye umri wa 60 and above kuwa hawana malengo yoyote zaidi ya kusubiri siku yao tu hapana sikuungi mkono mkuu kwa sababu hata wewe kama hauna malemgo na maisha yako ila utakuwa na malengo na maisha ya kizazi chako.

Kwa hiyo hautokuwa tayari kuacha kizazi kiishi katka maisha ya kubahatisha kwa sababu wewe yako umeshamaliza hapa duniani. Wazee wanapenda sana kuacha urithi mzuri kwa vizazi vyao ili wakumbukwe kwa mazuri yao walioyatenda enzi za uhai wao.

Nawakilisha mkuu huu ni mtazamo wangu ..
 
Mi bado sijakubaliana na wewe sisi bado hatuna mazingara mazuri kwa vijana wetu ambao wako chini ya miaka 18 wengi ujuzi wao wa kutambua vitu ni mdogo sana Fanya tafiti wewe mwenyewe tu kijiridhisha
 
Mkuu hoja yako ina mashiko ila kuna vitu sikubaliani navyo katika huu uzi.

1. Kuhusu wazee kutambulika kama wanalack ''mental capacity'' so wasipewe kipaumbele kwenye issue ya kuchagua viongozi hapo hapana. Kwa sababu wazee wanakuwa na historia nzuri ya wapi nchi ilipotoka mpaka ilipofikia na wanajua kipi kilichopelekea nchi ifike hapo ilipo.

Kama kiongozi aliyepita alishindwa au alifanikiwa wao wanajua sababu zote za hayo matokeo ila kinachopelekea kushindwa kufanya kwa maamuzi tofauti na yale ambayo kijana wa kisasa anayahitaji ni ule upenzi walionao kwa hao viongozi wao.

2.Kwa kijana mwenye umri wa miaka 15 kwa Tanzania labda kwa wale waishio mijini tena wapate elimu kwenye shule za kisasa sio hizi za kata. Vijana katika umri huo wengi wao bado hawajachangamka kwenye maamuzi makubwa hasa ya kuchagua viongozi wengi wao watakuwa wanafuata mkumbo tu.

Vichwani mwao wanakuwa bado hawajui kuchambua sera za viongozi na nia zao katika mustakabali wa taifa ila wataangalia na kushabikia kama mambo ya mipira tu wakati wanaharibu maisha yao au wanayajenga bila wao kujua.

Vijana katika nchi za wenzetu wanajengwa na kuandaliwa viziru kulingana na mitaala ya elimu yao bila kuchagua tabaka fulani litapata kiwango gani cha elimu so unakuta majority katika huo umri wanakuwa na elimu nzuri hata kujenga hoja na kuhoji pale kiongozi muomba ridhaa inapotoa sera za mashaka anaweza. Lakinii hii elimu yetu bure kwa kila mtanzani inawagawa hawa watoto wa masikini wale wa matajiri wanaosoma kizungu . Hawa vijana hata ukiwaweka katika kundi moja then uwasikilize uwezo wao wa kujieleza utaona kabisa vijana wa shule za wanauwezo mdogo sana.

Mbaya zaidi ndio waliopo kwenye kundi kubwa sana ni hawa waliopo kwenye shule za kata so tukisema hii hoja ipitishwe tutapata hasara sana.

3.Kuhusu hawa wazee wenye umri wa 60 and above kuwa hawana malengo yoyote zaidi ya kusubiri siku yao tu hapana sikuungi mkono mkuu kwa sababu hata wewe kama hauna malemgo na maisha yako ila utakuwa na malengo na maisha ya kizazi chako.

Kwa hiyo hautokuwa tayari kuacha kizazi kiishi katka maisha ya kubahatisha kwa sababu wewe yako umeshamaliza hapa duniani. Wazee wanapenda sana kuacha urithi mzuri kwa vizazi vyao ili wakumbukwe kwa mazuri yao walioyatenda enzi za uhai wao.

Nawakilisha mkuu huu ni mtazamo wangu ..
Kuna vijana ni zaidi ya miaka 18 unakuta analow mental capacity kuliko wa miaka 15 ila tunapogeneralize watu hatupaswi kuangalia upande mmoja. Inabidi kwanza tutambue ni kwanini walioweka sheria ya minority age iwe miaka 18. Hao kipindi hicho waligeneralize kuwa kijana chini ya miaka 18 hana mental capacity sababu hasa wengi wao kipindi hicho walikuwa hawana elimu. Lakini sasa almost kila mzazi anajitahidi mtoto wake apate angalau elimu ya msingi. Kijana mwenye elimu ya msingi kwanza tiyari anamental capacity. Mtu yeyote anayejua kusoma na kuandika na kujielewa basi anamental capacity.

Kwa upande wa wazee ni scientifiki kuwa mtu anavyokuwa ndivyo uwezo wake wa kufikiri unapungua. Yani kuna age binadamu hufika ubongo unachoka. Anapunguza asilimia za kutumia ubongo wake. Ndyo maana unakuta wazee wengi hawana kumbukumbu lakini kipindi ni vijana walikuwa wapo vizuri.
 
.... Wazee wao hawana malengo yeyote zaidi ya kusubiria siku yao na kuingia kaburini ...
Epuka lugha za maudhi au dharau kama hizi unapoleta mada sensitive kama hii. Kaburi ni la wote hata vichanga sometimes hutangulia wazee kuingia humo.
 
Epuka lugha za maudhi au dharau kama hizi unapoleta mada sensitive kama hii. Kaburi ni la wote hata vichanga sometimes hutangulia wazee kuingia humo.
Sio lugha ya maudhi utakuwa wewe ndye umeelewa vbya. Ni kweli huna umri unafika mtu yeye hafikirii maendeleo sababu anajua hana muda mrefu hapa duniani. Ambavyo ni tofauti ni vijana ambao wao wanakuwa wanajua bado wanasafari ndefu. Ila kifo kipo kwa kila mtu
 
wazo lako ni zuri sana la kuwapa vijana wa kileo haki yao ya msingi ya kufanya maamuzi makubwa kama kupiga kura. ni ukweli 1000% vijana wa sasa wanapata akili za maisha wakiwa wadogo sana sababu ya maendeleo ya kisayansi , technology na globalization vitu ambavyo vimefanya maisha kuwa complex zaidi na kuwa competitive zaidi, kwa sasa kijana kuwa na masters sio kitu cha ajabu, mwanangu ana 5 years tu ila anafikiri na kuongea kama mtu mzima unapozungumza nae na anatumia smart phone na laptop kama wewe na mimi!! dunia haisimami! tatizo kubwa ni la watunga sera wengi wao ni wazee na hawajitambui kuwa wamechoka na wamechokwa na hawakubali kuachia vijana maofisi na maamuzi sababu ya poverty living experience , food insecurity mindset na poverty mindset! wazee wengi wanapambana kuzeekea na kufia maofisini sababu Afrika haina utaratibu mzuri wa pensheni ya uzeeni! na maamuzi yao ya kizee ndio chanzo cha umaskini wa Afrika!
Siasa siasa siasa ndyo inaitafna Tz. Kwa mfano CCM inatambua hazina yao kubwa ni wazee. Vijana wanamuamko tofauti na uwezo tofauti wa kuchambua mambo.
 
Kwa kawaida, Raia yeyote mwenye miaka 18 nakuendelea huruhusiwa kushiriki uchaguzi yani anahaki ya kupiga kura na kuchagua kiongozi anaye muelewa. Hii ni kawaidi hata kwenye nchi zingine zilizoendelea na huu utaratibu umekuwepo toka zamani.

Ila tunabidi tutambue kuwa dunia ni dynamic yani mambo yanabadilika kila siku. Kijana wa miaka 18 wa sasa huwezi mlinganisha na yule wa karne ya 19. Sasa hivi unakuta kijana anamiaka 17 yupo chuo (university au collage). Zamani wa miaka 18 unakuta hajamaliza hata darasa la saba. Wenzetu china mtu anapata degree ya kwanza akiwa na miaka 18 sasa. Kwahyo aliingia college akiwa na miaka 14.

Uwezo wa kufikiri na kujitambua kwa vijana wa sasa sio kama wa kipindi kile. Sasa kijana ni mdogo anauwezo wa kufanya mambo makubwa. Hata elimu pia imeongeza mental capacity ya vijana wa karne ya sasa.

Miaka 18 ndyo hutumika kama general minority age kwa dunia nzima. Lakini kunabaadhi ya nchi wameanza badili minority age law. Kwa mfano Albania sasa ni miaka 14. Napel ni 16.

Ningependa kutoa wito hata kwa serikali yetu kulitazama hili swala. Serikali ipunguze minority age angalau hata mpaka miaka 15. Kijana mwenye miaka 15 wa kitanzania anakuwa tiyari na elimu ya secondary. Mtu wa hivi anajitambua vizuri sana. Naimani kwa serikali yenye nia nzuri ya kuwekeza kwa vijana ambao ni taifa la kesho italitazama hili swala kwa jicho la tatu.

Kijana wa miaka 15 anauwezo wakupiga kura na kuchagua kiongozi amtakaye.

Hivyo hivyo ningependa pia kutoa pendekezo kuhusiana wale wenye umri ulioenda yani "Old Age" au "senescence" ikimaanisha kundi la wale waliofika stage ya mwisho ya maisha yao. Kwa kawaida nchi nyingi za africa old age huanzia miaka 60 nakuendelea. Wenye miaka 60 hadi 69 ni "early old age". 70 had 79 ni "middle old age" na 80+ ni "oldest old age"

Kwa hali ya sasa watanzania wenye miaka 70 nakuendelea anakuwa kaisha choka kweli si kimwili hata kiakili. Kuna sheria kwa mfano zile za mikataba zinatoa consideration kwa watu wenye umri ulioenda. Hawa unakuta wanakuwa considered kama vile wanalack mental capacity to contract.

Kama mahakama inawakonsider wale wazee hasa waliopo kwenye middle old age nakuendelea kama wanalack "mental capacity" to contract kwanini serikali nayo isiwachukulie nao pia kuwa hawana mental capacity kama minor age ambao hawaruhusiwi kupiga kura?

Nacho taka kumaanisha hapa ni kuwa vijana wapewe uzito mkubwa kuliko wazee kwenye mambo ya kitaifa kama kwenye uchaguzi wa viongozi wao. Vijana ndyo taifa la kesho. Wazee wao hawanamalengo yeyote zaidi ya kusubiria siku yao na kuingia kaburini.

Nawakirisha hoja. Karibuni tuchangie mawazo.

Update.
Wenzetu wakenya wameanza huu mchakato pia. Leo bunge limejadili.wanataka kushusha hadi 16.
98c1260c0e1a64cce60d805d52bcdb35.jpg
Point taken
 
Naunga mkono hoja, kipimo cha kijana kianze pale anapobalehe/ kuvunja ungo.
Tuachane na mambo ya wazungu eti mtu mwenye miaka 17 ni mtoto, Kwa vigezo vipi?.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom