JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 6,834
- 14,201
Huyu jamaa anafaa kuwa waziri mkuu,ila nchi hii ilivyo na wachawi,watu kama yeye wanapigwa vita sana,Moja wa hazina ya viongozi kwenye nchi hii ni RC Dodoma Anton Mtaka,ni kiongozi bora ambaye anaweza kulisaidia hili Taifa
Tumemuona anavyofanya kazi akiwa mkuu wa mkoa wa Simiyu na sasa Dodoma
Tena anafaa kuwa waziri wa TAMISEMI tena atasaidia mengi sana kwenye hii wizara
Elimu,miundombinu,afya,na halmashauri atavisimamia vizuri sana
Nafasi zile za Rais tunamuomba Mama Samia amteue awe mbunge kisha uwaziri