- Thread starter
- #41
Sasa hapo umeweka u-uvccmTuache ujuha, kuwa activist au whistle blower hakumfanyi mtu kuwa good executive. Kifupi wale ni takataka kabisa ukimtoa Mwele
Jenga hoja kwanin hawafai
Sasa hapo umeweka u-uvccmTuache ujuha, kuwa activist au whistle blower hakumfanyi mtu kuwa good executive. Kifupi wale ni takataka kabisa ukimtoa Mwele
Wana mchango gani kwenye ushindi wa CCM kwa uchaguzi wa 2020??
Hao wa vetting si ndiyo wamemwaibisha Rais kwa kumsukumia jina la Mwesiga, Mhaya kuendeleza ukanda wa Mwendazake, mwenye PhD ya jalalani ya masomo ya jioni katika Chuo kisichojulikana? Rais alifanya kosa angesafisha kwanza Ikulu.Watanzania ni watu wa hovyo sana yani mtu kupiga kelele mtandaoni tayari ashafaa kuteuliwa. Wewe unamshauri mama asiwakubali watu wa vetting ila unataka akuamini wewe unknown kutoka mitandaoni.
Upumbavu tu.
Kwa huo wako ndio ubavicha au?Sasa hapo umeweka u-uvccm
Jenga hoja kwanin hawafai
Sawa mr presidential advisorHao wa vetting si ndiyo wamemwaibisha Rais kwa kumsukumia jina la Mwesiga, Mhaya kuendeleza ukanda wa Mwendazake, mwenye PhD ya jalalani ya masomo ya jioni katika Chuo kisichojulikana? Rais alifanya kosa angesafisha kwanza Ikulu.
Mawazo yako sisi tunaona wanafaaWote hao hawafai hata ujumbe wa nyumba kumi.
DuuhWote ni feminists hawajazaa hivyo hawafai