aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,630
- 3,578
Ni pendekezo tu kisha waweke wanyama tulivu kama twiga,pundamilia swala humo ndani na ili kudhibiti wanyama wasiingie kwenye makazi ya watu wanwaweza kuzungusha fensi ya wavu kuzunguka
Mbuga heka 1226 zinatosha kabisa kuwa na mbuga ndogo ambayo itachochea uchumi wa dar es salaam
Mbuga heka 1226 zinatosha kabisa kuwa na mbuga ndogo ambayo itachochea uchumi wa dar es salaam