AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
JF......!
Mimi kama mwanabadiliko napendekeza chama kiwateue makamanda John Mnyika na Benard Saanane warithi nafasi ya Zitto Kabwe ya ulezi wa CHADEMA kanda ya magharibi katika mikoa ya Tabora, Katavi na Kigoma.
Naamini kutokana na uwezo mahiri ya wanasiasa hao vijana machachari wasio na chembe yeyote ya unafiki, CHADEMA itaweza kuimarika zaidi ktk kanda hii hasa Tabora ambapo kumekuwa hakuna vuguvugu kubwa la mabadiliko ukilinganisha na mahali pengine nchini.
Shardcole@Tabora1
Mimi kama mwanabadiliko napendekeza chama kiwateue makamanda John Mnyika na Benard Saanane warithi nafasi ya Zitto Kabwe ya ulezi wa CHADEMA kanda ya magharibi katika mikoa ya Tabora, Katavi na Kigoma.
Naamini kutokana na uwezo mahiri ya wanasiasa hao vijana machachari wasio na chembe yeyote ya unafiki, CHADEMA itaweza kuimarika zaidi ktk kanda hii hasa Tabora ambapo kumekuwa hakuna vuguvugu kubwa la mabadiliko ukilinganisha na mahali pengine nchini.
Shardcole@Tabora1