Kwanza napenda kutoa pole nyingi sana kwa familia ya marehemu mohamed mtoi wakiwemo ndugu zake wa karibu na kuwashukuru kwa kutoa mtoto wao kuitumikia chadema kwa moyo uliotukuka.
Pili ningependa kumuomba mjane wa mtoi ambaye najua atakuwa alifanya kazi na mumewe bega kwa bega ili ashinde basi ajitoe mhanga kwa niaba ya mumewe kugombania kiti hicho ili kuthamini mchango wa mumewe wa kuwatumikia watu wa lushoto. ndoto za mumewe na legacy yake itakuwa na kitu muhimu kuakikisha zinafikia kama vile mume wake alivyokuwa amepanga.
Pili ningependa kumuomba mjane wa mtoi ambaye najua atakuwa alifanya kazi na mumewe bega kwa bega ili ashinde basi ajitoe mhanga kwa niaba ya mumewe kugombania kiti hicho ili kuthamini mchango wa mumewe wa kuwatumikia watu wa lushoto. ndoto za mumewe na legacy yake itakuwa na kitu muhimu kuakikisha zinafikia kama vile mume wake alivyokuwa amepanga.