Pendekezo la uanzishwaji wa internet radio ya CHADEMA

PISTO LERO

JF-Expert Member
Mar 8, 2011
2,819
1,454
[h=5]PENDEKEZO LA UANZISHWAJI WA INTERNET RADIO YA CHAMA (COMPLETE)

1. UTANGULIZI

Internet radio sio kitu kipya kwani zimeanza tokea mwaka 1993 na zimekuwa, siku hadi siku, umaarufu wake ukiongezeka. Ongezeko kubwa la wasikilizaji wa internet radio limepelekea kuongezeka internet radio station kufunguliwa kila sehemu.

Internet radio (pia inajulikana kama webradio, netradio, streaming radio, e-radio webcasting) ni aina ya radio ambayo matangazo yake yanarushwa kupitia internet. Kama zilivyo radio za kawaida, internet radio pia unaweza kurusha matangazo yote yakiwemo ya mazungumzo, music, maonyesha, concert, na mengineyo. Inatofautia na Radio za kawaida kama vile AM/FM/DAB kwa vile zinarusha matangazo yake kupitia hewani. Kwenye radio za kawaida mtu yeyote mwenye chombo cha kunasia mawimbi ya sauti anaweza kusikiliza matangazo kwa eneo maalum. Wakati Internet Radio mara ukijiunga unapokea matangazo popote pale ulipo ulimwenguni ukiwa na access Internet.

Kuanzisha internet radio hakuhitaji gharama kubwa wala ujuzi mwingi kama vile uanzishwaji wa radio za kawaida. Hii imeongeza umaarufu wake na kuwezesha kuanzisha internet radio kwa urahisi. Faida nyengine ya internet radio nikuwa huhitaji license kufungua kwake. Ingawa utahitajika kufuata sheria za haki miliki pale unapotaka kurusha vipindi, nyimbo amma kitu chengine kwa ridhaa ya mmliki wake.

Kumekuwa na ukuaji wa haraka kwa Internet Radio, huku simu za mkononi zikijiweka tayari kuchukua sehemu yake kuimarisha na kuendeleza internet radio. Hivyo siku zijazo wasikilizajiwengi wa radio watategemea internet radio kwa vile kukuwa na kujumuishwa (embedded) kwa utumiaji wa simu za mikononi.

2. INTERNET RADIO INAVYOFANYA KAZI

Unaweza kwa urahisi kuanzisha matangazo ya moojakwamoja kupitia internet na vilevile ikawa imejumuisha matangazo yaliyokwisha rikodiwa mfano (MP3, CD, Tape). Ili Internet radio iweze kufanya kazi inahitaji mambo matatu muhimu,nayo ni:
- Chanzo (Source) cha taarifa zinazotaka kurushwa, kupitia njia hii mtiririko wa sauti unaanzia kwenye aidha microphone, CD Player, Play list kutoka kwenye computer, au vyanzo vyenginevyo. Kutakuwa na mixer itakayochanganya vyanzo vyote vya sauti na kuingiza kwenye computer kupitia waya. Ndani ya computer kunakuwa na software maalum itakayoweza kusafirisha mtiririko wa data kupitia intenet na kuzifikisha kwa server.

- Server baada ya kupokea mtiririko wa sauti kutoka kwa computer na kuzigawa kwa wasikilizaji na wakati mwengine kuzihifadhi. Server zinamilikiwa na aidha watu au makampuni maaalum na zinakuwa na uwezo mkubwa wa kuhifadhi na kugawanya mtiririko wa data kwa speed kubwa zaidi.

- Wasikilizaji ni mtu yeyote yule duniani mwenye uwezo kupata huduma ya Internet. Wataweza kusikia kila kitu kinachotakiwa kutoka. Msikilizaji atahitaji kufahamu sehemu ya kupata matangazo kupitia webpage.

Mchoro wa hapo juu unaonyesha mtiririkowa sauti kuaznia microphone pale mtangazaji anapoaanza kurusha sauti yake. Baadae inaingizwa kwenye computer ili iweze kuchanganwa na kusafirishwa kupitia internet. Inapofika kwenye server, mtiririko wa sauti unagawanya kwa kila computer itakayohitaji kusikiliza matangazo hayo. Hata inachukuliwa kama ndio msikilizaji.

3. CHANGAMOTO ZA INTERNET RADIO

Pamoja na faida zilizoelezwa kabla, internet radio inakabiliwa na changamoto ya uwezo wa huduma ya Internet pale idadi ya wasikilizaji inapokuwa kubwa. Hapa Zanzibar bado speed ya internet ni ndogo hivyo kuwa kikwazo kikubwa cha kufanikiwa kupata wasikilizaji wengi kwa wakati mmoja huku wakiridhika na ubora wa matangazo. Kitu cha muhimu ni kujuwa kiasi gani cha bandwidth kinahitajika pamoja na speed inahitajika kurushia matangazo.

Unapokuwa na Bandwidth ndogo unakuwa na uwezo wa wasikilizaji kidogo, halkadhalika unapokuwa na wasikilizajiwengi lazima bandwidth iwe kubwa.
Kadri ya speed inapokuwa kubwa ndio sauti inavyotaka vizuri, wakati speed ikiwa ndogo sauti inapungua ubora wake.

Kitaalam sauti ya kupitia kwenye simu inatumia speed ya 24kbps wakati speed ya kusikiliza CD ni 128kbps.

4. MAHITAJI (REQUIREMENTS)

4.1 Mipango ya station
Mipango imara ya kuanzisha station ikijumuisha lengo na madhumuni ya kuanzishwa kwake, aina ya matangazo, time ya urushaji vipindi, walengwa, gharama na mengineyo.
Kwa kuanzia unaweza kurusha matangazo ya music, baadae unaweza kujumisha matangazo mengine ya mazungumzo.

4.2 Studio
Kama zilivyo radio nyengine zote, internet radio inahitaji kuwa na studio za kurushia matangazo na utengenezaji vipindi (backup studio). Zote hizi ziwe zinakidhi viwango vya kuhifadhi sauti (Acoustic) na kukinga ghasia.

4.3 Vifaa vya studio
Uzuri wa internet radio ni uwepesi na urahisi wa vifaa vya kurushia matangazo ikiwa ni pamoja na microphones, mixer, computers, hard disk, digital voice recorders, internet, software, umeme wa uhakika

4.4 Internet Radio Host
Hii ni sehemu inapohifidhawa matangazo yote ili kumuwezesha kila msikilizaji kuvyonza kupitia kwao. Ingawa technolojia nyengine sio lazima kutumia host, lakini ni vyema kulingana na ubora wake. Huduma hii hutolewa na moja kati yaw makampuni yenye kutoa huduma za internet radio. Itakuwesha kuwa na wasikilizaji wengi zaidi kwa wakati mmoja kwa vile server zinakuwa na speed na bandwidth kubwa ya internet. Kunakuwa na malipo kama vile zinavyolipitia huduma nyengine za internet kupitia ISP, lakini malipo haya sio tu kwa huduma yaw kuhifadhiwa bali ni kwazile features zilizomo ndani yakekama vile statics, Royalty Reports, Listeners Information, AutoDJ and much more.

4.5 Website (webpage)
Hii nisehemu ambayo wasikilizaji wako wanaweza kukupata. Webpage inawakutanisha wasikilizaji wote wanaofuatalia matangazo yako. Kwenye webpage hakikisha kunatoa fursa kwa kujumuisha technology kama vile Embedded, Winamp, iTune, XMMS, Windows Media, Realplayer etc. Halkadhalika unaweza kuitumia webpage kwa kuweka utaratibu wa vipindi, play list, feedback page (contuct us, have a say) link za page au radio neyengine.

4.5 Utaalam
Pamoja na urahisi wake internet radio bado inahitaji ujuzi wa kuweza kuiset na kuanza kurusha matangazo. Halkadhalika itasaidia pale wasikilizaji watakapokuwa na tatizo kupata msaada kutoka kwa wataalam hawa. Utaalamu utawezesha radio kuendesha vipindi kupitia technolojia tofauti kama vile iTunes, Real Audio, Windows Media Player na nyenginezo, kwani sio wasikilizaji wote wanatumia computer za aina moja. Hapo utakuwa unawafikia wasikilizaji wengi zaidi.

5. ORODHA YA VIFAA NA GHARAMA ZAKE

Itakuwa vyema ikiwa intaernet radio itaanza hatua kwa hatua. Unaweza kupunguza gharama kubwa ukianza na software ya free kwa ajili ya kujitangaza na kuongeza ujuzi wa utumiaji na utangazaji.

MAHITAJI - GHARAMA

1. Desk Top Computer + Laptop - 1,530,000/-

2. Broadcasting Software (Sam Broadcaster) - Free

3. Internet Connection (Broadband) + Wireless - 70,000/-

4. Server (Transmitter) for Listener - Free

5. Two Microphones - 510,000/-

6. Mixer - 714,000/-

7. Digital Voice Recorder - 337,500/-

8. Headphone - 22,500/-

9. Microphone Cables - 112,500/-

10. Audio cable software for skype phone - Free

11. Microphone Stand - 902,000/-

11. Web page (site) - 1,000,000/-

JUMLA - 18,968,500/-

Toa Mchango wako kufanikisha mradi huu
[/h]
 
duh iko bomba sana, this is very creative: CDM na wadau wengine wa mabadiliko wajaribu kuwekeza katika hili.....
 
Mie nieleze hofu yangu. Kama cdm kwa mfano wana nia ya kueneza ujumbe wao, wangependa sana watu wengi wa vijijini waupate ujumbe huo. Je, huko vijijini hali ya internet ikoje? Wanavijiji wanazo kompyuta au smartphones za kuunganisha internet? Hata umeme ni shida kwenye vijiji vingi.
 
Tupe namba ya M-pesa au tigo pesa turushe michango yetu HARAKA!!!!
 
pendekezo la uanzishwaji wa internet radio ya chama (complete)

1. Utangulizi

internet radio sio kitu kipya kwani zimeanza tokea mwaka 1993 na zimekuwa, siku hadi siku, umaarufu wake ukiongezeka. Ongezeko kubwa la wasikilizaji wa internet radio limepelekea kuongezeka internet radio station kufunguliwa kila sehemu.

Internet radio (pia inajulikana kama webradio, netradio, streaming radio, e-radio webcasting) ni aina ya radio ambayo matangazo yake yanarushwa kupitia internet. Kama zilivyo radio za kawaida, internet radio pia unaweza kurusha matangazo yote yakiwemo ya mazungumzo, music, maonyesha, concert, na mengineyo. Inatofautia na radio za kawaida kama vile am/fm/dab kwa vile zinarusha matangazo yake kupitia hewani. Kwenye radio za kawaida mtu yeyote mwenye chombo cha kunasia mawimbi ya sauti anaweza kusikiliza matangazo kwa eneo maalum. Wakati internet radio mara ukijiunga unapokea matangazo popote pale ulipo ulimwenguni ukiwa na access internet.

Kuanzisha internet radio hakuhitaji gharama kubwa wala ujuzi mwingi kama vile uanzishwaji wa radio za kawaida. Hii imeongeza umaarufu wake na kuwezesha kuanzisha internet radio kwa urahisi. Faida nyengine ya internet radio nikuwa huhitaji license kufungua kwake. Ingawa utahitajika kufuata sheria za haki miliki pale unapotaka kurusha vipindi, nyimbo amma kitu chengine kwa ridhaa ya mmliki wake.

Kumekuwa na ukuaji wa haraka kwa internet radio, huku simu za mkononi zikijiweka tayari kuchukua sehemu yake kuimarisha na kuendeleza internet radio. Hivyo siku zijazo wasikilizajiwengi wa radio watategemea internet radio kwa vile kukuwa na kujumuishwa (embedded) kwa utumiaji wa simu za mikononi.

2. Internet radio inavyofanya kazi

unaweza kwa urahisi kuanzisha matangazo ya moojakwamoja kupitia internet na vilevile ikawa imejumuisha matangazo yaliyokwisha rikodiwa mfano (mp3, cd, tape). Ili internet radio iweze kufanya kazi inahitaji mambo matatu muhimu,nayo ni:
- chanzo (source) cha taarifa zinazotaka kurushwa, kupitia njia hii mtiririko wa sauti unaanzia kwenye aidha microphone, cd player, play list kutoka kwenye computer, au vyanzo vyenginevyo. Kutakuwa na mixer itakayochanganya vyanzo vyote vya sauti na kuingiza kwenye computer kupitia waya. Ndani ya computer kunakuwa na software maalum itakayoweza kusafirisha mtiririko wa data kupitia intenet na kuzifikisha kwa server.

- server baada ya kupokea mtiririko wa sauti kutoka kwa computer na kuzigawa kwa wasikilizaji na wakati mwengine kuzihifadhi. Server zinamilikiwa na aidha watu au makampuni maaalum na zinakuwa na uwezo mkubwa wa kuhifadhi na kugawanya mtiririko wa data kwa speed kubwa zaidi.

- wasikilizaji ni mtu yeyote yule duniani mwenye uwezo kupata huduma ya internet. Wataweza kusikia kila kitu kinachotakiwa kutoka. Msikilizaji atahitaji kufahamu sehemu ya kupata matangazo kupitia webpage.

Mchoro wa hapo juu unaonyesha mtiririkowa sauti kuaznia microphone pale mtangazaji anapoaanza kurusha sauti yake. Baadae inaingizwa kwenye computer ili iweze kuchanganwa na kusafirishwa kupitia internet. Inapofika kwenye server, mtiririko wa sauti unagawanya kwa kila computer itakayohitaji kusikiliza matangazo hayo. Hata inachukuliwa kama ndio msikilizaji.

3. Changamoto za internet radio

pamoja na faida zilizoelezwa kabla, internet radio inakabiliwa na changamoto ya uwezo wa huduma ya internet pale idadi ya wasikilizaji inapokuwa kubwa. Hapa zanzibar bado speed ya internet ni ndogo hivyo kuwa kikwazo kikubwa cha kufanikiwa kupata wasikilizaji wengi kwa wakati mmoja huku wakiridhika na ubora wa matangazo. Kitu cha muhimu ni kujuwa kiasi gani cha bandwidth kinahitajika pamoja na speed inahitajika kurushia matangazo.

Unapokuwa na bandwidth ndogo unakuwa na uwezo wa wasikilizaji kidogo, halkadhalika unapokuwa na wasikilizajiwengi lazima bandwidth iwe kubwa.
Kadri ya speed inapokuwa kubwa ndio sauti inavyotaka vizuri, wakati speed ikiwa ndogo sauti inapungua ubora wake.

Kitaalam sauti ya kupitia kwenye simu inatumia speed ya 24kbps wakati speed ya kusikiliza cd ni 128kbps.

4. Mahitaji (requirements)

4.1 mipango ya station
mipango imara ya kuanzisha station ikijumuisha lengo na madhumuni ya kuanzishwa kwake, aina ya matangazo, time ya urushaji vipindi, walengwa, gharama na mengineyo.
Kwa kuanzia unaweza kurusha matangazo ya music, baadae unaweza kujumisha matangazo mengine ya mazungumzo.

4.2 studio
kama zilivyo radio nyengine zote, internet radio inahitaji kuwa na studio za kurushia matangazo na utengenezaji vipindi (backup studio). Zote hizi ziwe zinakidhi viwango vya kuhifadhi sauti (acoustic) na kukinga ghasia.

4.3 vifaa vya studio
uzuri wa internet radio ni uwepesi na urahisi wa vifaa vya kurushia matangazo ikiwa ni pamoja na microphones, mixer, computers, hard disk, digital voice recorders, internet, software, umeme wa uhakika

4.4 internet radio host
hii ni sehemu inapohifidhawa matangazo yote ili kumuwezesha kila msikilizaji kuvyonza kupitia kwao. Ingawa technolojia nyengine sio lazima kutumia host, lakini ni vyema kulingana na ubora wake. Huduma hii hutolewa na moja kati yaw makampuni yenye kutoa huduma za internet radio. Itakuwesha kuwa na wasikilizaji wengi zaidi kwa wakati mmoja kwa vile server zinakuwa na speed na bandwidth kubwa ya internet. Kunakuwa na malipo kama vile zinavyolipitia huduma nyengine za internet kupitia isp, lakini malipo haya sio tu kwa huduma yaw kuhifadhiwa bali ni kwazile features zilizomo ndani yakekama vile statics, royalty reports, listeners information, autodj and much more.

4.5 website (webpage)
hii nisehemu ambayo wasikilizaji wako wanaweza kukupata. Webpage inawakutanisha wasikilizaji wote wanaofuatalia matangazo yako. Kwenye webpage hakikisha kunatoa fursa kwa kujumuisha technology kama vile embedded, winamp, itune, xmms, windows media, realplayer etc. Halkadhalika unaweza kuitumia webpage kwa kuweka utaratibu wa vipindi, play list, feedback page (contuct us, have a say) link za page au radio neyengine.

4.5 utaalam
pamoja na urahisi wake internet radio bado inahitaji ujuzi wa kuweza kuiset na kuanza kurusha matangazo. Halkadhalika itasaidia pale wasikilizaji watakapokuwa na tatizo kupata msaada kutoka kwa wataalam hawa. Utaalamu utawezesha radio kuendesha vipindi kupitia technolojia tofauti kama vile itunes, real audio, windows media player na nyenginezo, kwani sio wasikilizaji wote wanatumia computer za aina moja. Hapo utakuwa unawafikia wasikilizaji wengi zaidi.

5. Orodha ya vifaa na gharama zake

itakuwa vyema ikiwa intaernet radio itaanza hatua kwa hatua. Unaweza kupunguza gharama kubwa ukianza na software ya free kwa ajili ya kujitangaza na kuongeza ujuzi wa utumiaji na utangazaji.

Mahitaji - gharama

1. Desk top computer + laptop - 1,530,000/-

2. Broadcasting software (sam broadcaster) - free

3. Internet connection (broadband) + wireless - 70,000/-

4. Server (transmitter) for listener - free

5. Two microphones - 510,000/-

6. Mixer - 714,000/-

7. Digital voice recorder - 337,500/-

8. Headphone - 22,500/-

9. Microphone cables - 112,500/-

10. Audio cable software for skype phone - free

11. Microphone stand - 902,000/-

11. Web page (site) - 1,000,000/-

jumla - 18,968,500/-

toa mchango wako kufanikisha mradi huu



makosa ya uchapishaji jumla ya gharama zote ni 5,198,500
 
PENDEKEZO LA UANZISHWAJI WA INTERNET RADIO YA CHAMA (COMPLETE)

1. UTANGULIZI

Internet radio sio kitu kipya kwani zimeanza tokea mwaka 1993 na zimekuwa, siku hadi siku, umaarufu wake ukiongezeka. Ongezeko kubwa la wasikilizaji wa internet radio limepelekea kuongezeka internet radio station kufunguliwa kila sehemu.

Internet radio (pia inajulikana kama webradio, netradio, streaming radio, e-radio webcasting) ni aina ya radio ambayo matangazo yake yanarushwa kupitia internet. Kama zilivyo radio za kawaida, internet radio pia unaweza kurusha matangazo yote yakiwemo ya mazungumzo, music, maonyesha, concert, na mengineyo. Inatofautia na Radio za kawaida kama vile AM/FM/DAB kwa vile zinarusha matangazo yake kupitia hewani. Kwenye radio za kawaida mtu yeyote mwenye chombo cha kunasia mawimbi ya sauti anaweza kusikiliza matangazo kwa eneo maalum. Wakati Internet Radio mara ukijiunga unapokea matangazo popote pale ulipo ulimwenguni ukiwa na access Internet.

Kuanzisha internet radio hakuhitaji gharama kubwa wala ujuzi mwingi kama vile uanzishwaji wa radio za kawaida. Hii imeongeza umaarufu wake na kuwezesha kuanzisha internet radio kwa urahisi. Faida nyengine ya internet radio nikuwa huhitaji license kufungua kwake. Ingawa utahitajika kufuata sheria za haki miliki pale unapotaka kurusha vipindi, nyimbo amma kitu chengine kwa ridhaa ya mmliki wake.

Kumekuwa na ukuaji wa haraka kwa Internet Radio, huku simu za mkononi zikijiweka tayari kuchukua sehemu yake kuimarisha na kuendeleza internet radio. Hivyo siku zijazo wasikilizajiwengi wa radio watategemea internet radio kwa vile kukuwa na kujumuishwa (embedded) kwa utumiaji wa simu za mikononi.

2. INTERNET RADIO INAVYOFANYA KAZI

Unaweza kwa urahisi kuanzisha matangazo ya moojakwamoja kupitia internet na vilevile ikawa imejumuisha matangazo yaliyokwisha rikodiwa mfano (MP3, CD, Tape). Ili Internet radio iweze kufanya kazi inahitaji mambo matatu muhimu,nayo ni:
- Chanzo (Source) cha taarifa zinazotaka kurushwa, kupitia njia hii mtiririko wa sauti unaanzia kwenye aidha microphone, CD Player, Play list kutoka kwenye computer, au vyanzo vyenginevyo. Kutakuwa na mixer itakayochanganya vyanzo vyote vya sauti na kuingiza kwenye computer kupitia waya. Ndani ya computer kunakuwa na software maalum itakayoweza kusafirisha mtiririko wa data kupitia intenet na kuzifikisha kwa server.

- Server baada ya kupokea mtiririko wa sauti kutoka kwa computer na kuzigawa kwa wasikilizaji na wakati mwengine kuzihifadhi. Server zinamilikiwa na aidha watu au makampuni maaalum na zinakuwa na uwezo mkubwa wa kuhifadhi na kugawanya mtiririko wa data kwa speed kubwa zaidi.

- Wasikilizaji ni mtu yeyote yule duniani mwenye uwezo kupata huduma ya Internet. Wataweza kusikia kila kitu kinachotakiwa kutoka. Msikilizaji atahitaji kufahamu sehemu ya kupata matangazo kupitia webpage.

Mchoro wa hapo juu unaonyesha mtiririkowa sauti kuaznia microphone pale mtangazaji anapoaanza kurusha sauti yake. Baadae inaingizwa kwenye computer ili iweze kuchanganwa na kusafirishwa kupitia internet. Inapofika kwenye server, mtiririko wa sauti unagawanya kwa kila computer itakayohitaji kusikiliza matangazo hayo. Hata inachukuliwa kama ndio msikilizaji.

3. CHANGAMOTO ZA INTERNET RADIO

Pamoja na faida zilizoelezwa kabla, internet radio inakabiliwa na changamoto ya uwezo wa huduma ya Internet pale idadi ya wasikilizaji inapokuwa kubwa. Hapa Zanzibar bado speed ya internet ni ndogo hivyo kuwa kikwazo kikubwa cha kufanikiwa kupata wasikilizaji wengi kwa wakati mmoja huku wakiridhika na ubora wa matangazo. Kitu cha muhimu ni kujuwa kiasi gani cha bandwidth kinahitajika pamoja na speed inahitajika kurushia matangazo.

Unapokuwa na Bandwidth ndogo unakuwa na uwezo wa wasikilizaji kidogo, halkadhalika unapokuwa na wasikilizajiwengi lazima bandwidth iwe kubwa.
Kadri ya speed inapokuwa kubwa ndio sauti inavyotaka vizuri, wakati speed ikiwa ndogo sauti inapungua ubora wake.

Kitaalam sauti ya kupitia kwenye simu inatumia speed ya 24kbps wakati speed ya kusikiliza CD ni 128kbps.

4. MAHITAJI (REQUIREMENTS)

4.1 Mipango ya station
Mipango imara ya kuanzisha station ikijumuisha lengo na madhumuni ya kuanzishwa kwake, aina ya matangazo, time ya urushaji vipindi, walengwa, gharama na mengineyo.
Kwa kuanzia unaweza kurusha matangazo ya music, baadae unaweza kujumisha matangazo mengine ya mazungumzo.

4.2 Studio
Kama zilivyo radio nyengine zote, internet radio inahitaji kuwa na studio za kurushia matangazo na utengenezaji vipindi (backup studio). Zote hizi ziwe zinakidhi viwango vya kuhifadhi sauti (Acoustic) na kukinga ghasia.

4.3 Vifaa vya studio
Uzuri wa internet radio ni uwepesi na urahisi wa vifaa vya kurushia matangazo ikiwa ni pamoja na microphones, mixer, computers, hard disk, digital voice recorders, internet, software, umeme wa uhakika

4.4 Internet Radio Host
Hii ni sehemu inapohifidhawa matangazo yote ili kumuwezesha kila msikilizaji kuvyonza kupitia kwao. Ingawa technolojia nyengine sio lazima kutumia host, lakini ni vyema kulingana na ubora wake. Huduma hii hutolewa na moja kati yaw makampuni yenye kutoa huduma za internet radio. Itakuwesha kuwa na wasikilizaji wengi zaidi kwa wakati mmoja kwa vile server zinakuwa na speed na bandwidth kubwa ya internet. Kunakuwa na malipo kama vile zinavyolipitia huduma nyengine za internet kupitia ISP, lakini malipo haya sio tu kwa huduma yaw kuhifadhiwa bali ni kwazile features zilizomo ndani yakekama vile statics, Royalty Reports, Listeners Information, AutoDJ and much more.

4.5 Website (webpage)
Hii nisehemu ambayo wasikilizaji wako wanaweza kukupata. Webpage inawakutanisha wasikilizaji wote wanaofuatalia matangazo yako. Kwenye webpage hakikisha kunatoa fursa kwa kujumuisha technology kama vile Embedded, Winamp, iTune, XMMS, Windows Media, Realplayer etc. Halkadhalika unaweza kuitumia webpage kwa kuweka utaratibu wa vipindi, play list, feedback page (contuct us, have a say) link za page au radio neyengine.

4.5 Utaalam
Pamoja na urahisi wake internet radio bado inahitaji ujuzi wa kuweza kuiset na kuanza kurusha matangazo. Halkadhalika itasaidia pale wasikilizaji watakapokuwa na tatizo kupata msaada kutoka kwa wataalam hawa. Utaalamu utawezesha radio kuendesha vipindi kupitia technolojia tofauti kama vile iTunes, Real Audio, Windows Media Player na nyenginezo, kwani sio wasikilizaji wote wanatumia computer za aina moja. Hapo utakuwa unawafikia wasikilizaji wengi zaidi.

5. ORODHA YA VIFAA NA GHARAMA ZAKE

Itakuwa vyema ikiwa intaernet radio itaanza hatua kwa hatua. Unaweza kupunguza gharama kubwa ukianza na software ya free kwa ajili ya kujitangaza na kuongeza ujuzi wa utumiaji na utangazaji.

MAHITAJI - GHARAMA

1. Desk Top Computer + Laptop - 1,530,000/-

2. Broadcasting Software (Sam Broadcaster) - Free

3. Internet Connection (Broadband) + Wireless - 70,000/-

4. Server (Transmitter) for Listener - Free

5. Two Microphones - 510,000/-

6. Mixer - 714,000/-

7. Digital Voice Recorder - 337,500/-

8. Headphone - 22,500/-

9. Microphone Cables - 112,500/-

10. Audio cable software for skype phone - Free

11. Microphone Stand - 902,000/-

11. Web page (site) - 1,000,000/-

JUMLA - 18,968,500/-

Toa Mchango wako kufanikisha mradi huu




Wazo zuri sana, naliunga mkono kwa asilimia mia moja na nipo tayari kuchangia mradi huu
 
Mkuu, nitakutafuta nataka kufungua radio yangu na hizo gharama ziko ndani ya uwezo wangu. Nasikia Chadema hawana pesa kwa sasa.
 
Mkuu gharama haziwezi kufikia kiasi hicho! Hisitoshe software nyingi unaweza kuzipata free i.e opensource software ambazo unaweza kuzi-customise kufanya lolote utakalo bila mikwala wala adha za kulipia liseni kwa vendors, hii ina include a mixer- siyo lazima uwe na mixer (physically). Kitu kingine kwa nini mnataka kutumia karibu millioni ku-construct WEBSITE, mbona kuna watu wenye uwezo mkubwa wa kufanikisha hilo 4free!

Nataka tuwe wakweli hapa, Je ni RAIA wangapi wenye uwezo wa kusikiliza matangazo kupitia Internet Radio inayo hitaji a proper throughput na players za ku-stream matangazo/sauti bila ya matangazo kukwamakwama kutokana na limitations za bandwidth ( hapa nazungumzia player ambazo unaweza kuzifanyia ukarabati ili zitumie codecs ambazo hazihitaji bomba kubwa la throughput)

Kitu kingine, kwa nini msinunue FM Radio Station/Trasmitter ya nguvu kidogo kwa majaribio hapa DSM kwanza, alafu baadae mnachagua mikoa ya kuweka viji-station vidogo vya FM kama repeaters za kusambaza matangazo yenu, vi-FM Radio Stations vya mikoani vikiunganishwe kupitia INTERNET - hilo ni wazo langu si lazima niwe sahii kwa asili mia 100. Lakini mkig'ang'ania kutumia internet tu mtanufahisha RAIA wachache sana wenye uwezo na sidhani kama hilo ndilo lengo lenu la msingi la kutaka kuanzisha matangazo kwa njia ya RADIO.
 
Ni wazo zuri sana hasa kwa waishio ulaya lakini kwa tanzania gharama zinaenda bure ingawa si kubwa kwani utanufaisha walewale wenye uelewa wa chama tayari. Utapata wenye access na internet tu, wenye uwezo wa kulipia. Uzoefu unaonyesha kuwa hata redio kubwa kama BBC zinasikilizwa na wachache mno kwa njia hii, wanaweza kuwa wasikilizaji wa BBC mkoani Mwanza ni wengi kuliko wanaoskiliza BBC kwa internet duniani kote! Hivyo kwa manager mzuri ni mradi wa ovyo tu na waweza kuuita wa kifisadi. Kuna CHADEMA TV ya internet iko hadi sasa hebu niambieni ni wangapi wanaitumia kupata habari za chama kuipitia? Kuna watu wanalipwa kuiendesha lakini ningekuwa na sauti ya kuamua isingekuwepo maana ni matumizi mabaya ya fedha bila tija ya kuridhisha. Ni mawazo yatolewayo na watu waliojifungia kwenye ofisi za viyoyozi na viti vya kuzunguka wasio na uhalisia wa field! Kama kuna suala muhimu kwa chama ni kuanzisha FM Radio ya ukweli inayoweza kuwafanya hata wapinzani wenu wakajua kuwa ipo na inatupa mawe
 
Back
Top Bottom