TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Wakuu wote heshima mbele,
Kama tunavyojua miezi michache ijayo CHADEMA itaingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge wa Jimbo la Sumbawanga. Ni muda muafaka tutafakari kwa pamoja na kumshauri Katibu Mkuu wetu Dr. Willbrod Slaa namna atakavyounda timu ya kampeni hususani timu kuu ya kuratibu Kampeni za Chama. Hapa chini nimejaribu kuweka altenative nane (Plan A to Plan H). Tujaribu kuchagua Plan moja au kufanyia maboresho ili tuikabidhi majukumu ya Kikampeni huko ya huko Sumbawanga.
Chini ya hizi Plan kuna Kamati yetu ya Ufundi (Evaluation & Monitoring Team) ambayo kimsingi hii inabaki kama ilivyo kama tulivyokuwa tunaitumia katika chaguzi zilizopita. Pia timu ya Washauri (Consultants). Hii nayo itabaki kama ilivyo kama tulivyokuwa tunaitumia kwenye chaguzi zetu za nyuma. Tujikite kupembua ni "Plan" ipi inafaa au kama haipo basi tutoe mapendekezo kwa Chama, ni timu gani unayoona itafaa kuituma Sumbawanga kufanya Kampeni na tuibuke na ushindi mnono.
PLAN A
1. Kampeni Meneja - Peter Msingwa
2. Naibu Kampeni Meneja - Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu
3. Kamanda wa Operesheni - Godbless Lema
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - Ally Banaga
PLAN B:
1. Kampeni Meneja - Vincent Nyerere
2. Naibu Kampeni Meneja - Meshak Opulukwa
3. Kamanda wa Opereshini - Mwita Waitara
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - Joshua Nassari
PLAN C:
1. Kampeni Meneja - Godbless Lema
2. Naibu Kampeni Meneja - Peter Msingwa
3. Kamanda wa Operesheni - John Heche
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - David Silinde
PLAN D:
1. Kampeni Meneja - Tundu Lissu
2. Naibu Kampeni Meneja - Vincent Nyerere
3. Kamanda wa Operesheni - John Mrema
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Msafiri Mtemelwa
PLAN E:
1. Kampeni Meneja - Ezekiel Wenje
2. Naibu Kampeni Meneja - Godbless Lema
3. Kamanda wa Opereshini - Benson Kigaila
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Tumaini Makene
PLAN F:
1. Kampeni Meneja - Mabere Marando
2. Naibu Kampeni Meneja - John Mnyika
3. Kamanda wa Opereshini - Halima Mdee
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Joshua Nassari.
PLAN G:
1. Kampeni Meneja - Israel Natse
2. Naibu Kampeni Meneja - Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu
3. Kamanda wa Operesheni - David Silinde
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Tumaini Makene
PLAN H:
1. Kampeni Meneja - Vincent Nyerere
2. Naibu Kampeni Meneja - Godbless Lema
3. Kamanda wa Operesheni - Mwita Waitara
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - James Ole Millya
MONITORING AND EVALUATION (M&E) TEAM
1. Freeman A. Mbowe
2. Dr. Willbrod Slaa
STRATEGISTS / CONSULTANTS:
1. Said Arfi - Mzee Arfi atatushauri kwenye masuala ya mila na destruri za Wenyeji wa Sumbawanga. Pia atatusadia kupanga mbinu za ushindi kwa kuwa ni mzoevu wa siasa za Nyanda za Juu kusini especially Mkoa wa Rukwa.
2. Prof Abdallah Safari - Huyu ni Mtaalamu wetu wa Sheria. Tumtumie ku-monitor mwenendo wa kampeni za CCM, mchakato wa kupiga kura na kutangaza matokeo. Hili swala ni muhimu kwa sababu litatusaidia kukusanya ushahidi wa kupeleka Mahakamani baada ya Matokeo ya Uchaguzi kutangazwa kama ikibidi kufanya hivyo.
3. Dr Kitila Mkumbo - Mtaalamu wetu wa Saikolojia. Tumtumie kupanga mbinu za kisiasa kuwaandaa wapiga kura kisaikojia kujitokeza kupiga kura na kulinda kura zao kama walivyofanya Wana Arumeru Mashariki. Ni mtaalamu pia wa mbinu za kikampeni kwenye chaguzi.
4. Prof Mwesiga Baregu - Mtalaamu wetu wa Sayansi ya Siasa. Ushauri wake wa kisomi utumiwe kuendesha kampeni za kisomi zisizohitaji raslimali nyingi na zenye matokeo chanya.
5. Edwin Mtei - Uzee ni dawa. Wazee wameona mengi hadi hapo walipofika. Kuna mambo tunaweza kuona ni mageni kwetu lakini kwa wazee si mageni. Tunapopata changamoto za kikampeni si vibaya kuwasiliana nae kupata mchango ushauri wake.
Nawasilisha.
TUMBIRI (PhD, HULL University - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Nakala: POMPO, Mungi, Crashwise, Kimbunga, Matola, Ben Saanane, Mikael P Aweda, Mzee Mwanakijiji, Candid Scope, Yericko Nyerere, Pasco, Mwita Maranya, Molemo, Mkandara, Excy, Isango, Invisible, Josephine, zomba, Rejao, TUNTEMEKE, Losambo, BAK, Eliah G Kamwela, Katavi, only83, Arushaone, Ngongo, Polisi, Mohamedi Mtoi, Saint Ivuga, Mzito Kabwela, Raia Fulani, nk
Kama tunavyojua miezi michache ijayo CHADEMA itaingia kwenye kinyang'anyiro cha kuwania Ubunge wa Jimbo la Sumbawanga. Ni muda muafaka tutafakari kwa pamoja na kumshauri Katibu Mkuu wetu Dr. Willbrod Slaa namna atakavyounda timu ya kampeni hususani timu kuu ya kuratibu Kampeni za Chama. Hapa chini nimejaribu kuweka altenative nane (Plan A to Plan H). Tujaribu kuchagua Plan moja au kufanyia maboresho ili tuikabidhi majukumu ya Kikampeni huko ya huko Sumbawanga.
Chini ya hizi Plan kuna Kamati yetu ya Ufundi (Evaluation & Monitoring Team) ambayo kimsingi hii inabaki kama ilivyo kama tulivyokuwa tunaitumia katika chaguzi zilizopita. Pia timu ya Washauri (Consultants). Hii nayo itabaki kama ilivyo kama tulivyokuwa tunaitumia kwenye chaguzi zetu za nyuma. Tujikite kupembua ni "Plan" ipi inafaa au kama haipo basi tutoe mapendekezo kwa Chama, ni timu gani unayoona itafaa kuituma Sumbawanga kufanya Kampeni na tuibuke na ushindi mnono.
PLAN A
1. Kampeni Meneja - Peter Msingwa
2. Naibu Kampeni Meneja - Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu
3. Kamanda wa Operesheni - Godbless Lema
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - Ally Banaga
PLAN B:
1. Kampeni Meneja - Vincent Nyerere
2. Naibu Kampeni Meneja - Meshak Opulukwa
3. Kamanda wa Opereshini - Mwita Waitara
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - Joshua Nassari
PLAN C:
1. Kampeni Meneja - Godbless Lema
2. Naibu Kampeni Meneja - Peter Msingwa
3. Kamanda wa Operesheni - John Heche
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - David Silinde
PLAN D:
1. Kampeni Meneja - Tundu Lissu
2. Naibu Kampeni Meneja - Vincent Nyerere
3. Kamanda wa Operesheni - John Mrema
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Msafiri Mtemelwa
PLAN E:
1. Kampeni Meneja - Ezekiel Wenje
2. Naibu Kampeni Meneja - Godbless Lema
3. Kamanda wa Opereshini - Benson Kigaila
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Tumaini Makene
PLAN F:
1. Kampeni Meneja - Mabere Marando
2. Naibu Kampeni Meneja - John Mnyika
3. Kamanda wa Opereshini - Halima Mdee
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Joshua Nassari.
PLAN G:
1. Kampeni Meneja - Israel Natse
2. Naibu Kampeni Meneja - Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu
3. Kamanda wa Operesheni - David Silinde
4. Naibu Kamanda wa Opereshini - Tumaini Makene
PLAN H:
1. Kampeni Meneja - Vincent Nyerere
2. Naibu Kampeni Meneja - Godbless Lema
3. Kamanda wa Operesheni - Mwita Waitara
4. Naibu Kamanda wa Operesheni - James Ole Millya
MONITORING AND EVALUATION (M&E) TEAM
1. Freeman A. Mbowe
2. Dr. Willbrod Slaa
STRATEGISTS / CONSULTANTS:
1. Said Arfi - Mzee Arfi atatushauri kwenye masuala ya mila na destruri za Wenyeji wa Sumbawanga. Pia atatusadia kupanga mbinu za ushindi kwa kuwa ni mzoevu wa siasa za Nyanda za Juu kusini especially Mkoa wa Rukwa.
2. Prof Abdallah Safari - Huyu ni Mtaalamu wetu wa Sheria. Tumtumie ku-monitor mwenendo wa kampeni za CCM, mchakato wa kupiga kura na kutangaza matokeo. Hili swala ni muhimu kwa sababu litatusaidia kukusanya ushahidi wa kupeleka Mahakamani baada ya Matokeo ya Uchaguzi kutangazwa kama ikibidi kufanya hivyo.
3. Dr Kitila Mkumbo - Mtaalamu wetu wa Saikolojia. Tumtumie kupanga mbinu za kisiasa kuwaandaa wapiga kura kisaikojia kujitokeza kupiga kura na kulinda kura zao kama walivyofanya Wana Arumeru Mashariki. Ni mtaalamu pia wa mbinu za kikampeni kwenye chaguzi.
4. Prof Mwesiga Baregu - Mtalaamu wetu wa Sayansi ya Siasa. Ushauri wake wa kisomi utumiwe kuendesha kampeni za kisomi zisizohitaji raslimali nyingi na zenye matokeo chanya.
5. Edwin Mtei - Uzee ni dawa. Wazee wameona mengi hadi hapo walipofika. Kuna mambo tunaweza kuona ni mageni kwetu lakini kwa wazee si mageni. Tunapopata changamoto za kikampeni si vibaya kuwasiliana nae kupata mchango ushauri wake.
Nawasilisha.
TUMBIRI (PhD, HULL University - United Kingdom),
tumbiri@jamiiforums.com
Nakala: POMPO, Mungi, Crashwise, Kimbunga, Matola, Ben Saanane, Mikael P Aweda, Mzee Mwanakijiji, Candid Scope, Yericko Nyerere, Pasco, Mwita Maranya, Molemo, Mkandara, Excy, Isango, Invisible, Josephine, zomba, Rejao, TUNTEMEKE, Losambo, BAK, Eliah G Kamwela, Katavi, only83, Arushaone, Ngongo, Polisi, Mohamedi Mtoi, Saint Ivuga, Mzito Kabwela, Raia Fulani, nk
Last edited by a moderator: