kuamini au kutoamini ni haki ya kila raia kisheria. viongozi wa CDM na UKAWA hatuzuii watu kuamini kile wanachokiamini kama ninyi CCM mnavotumia mabomu na jeshi kuwazuia wanaccm kuamini kile wanachokiamini.waraka mzuri ila uliowaandiki ndo hivyo tena. watu hawataki kusikiliza wachache walitofauti na wao. wanaona kutofautiana ni usaliti.
kawaida anayetofautiana na wakubwa ni muasi. hata ww humu ushaitwa mfuasi wa dr sababu tu uko tofauti na wengine. ila naamini slaa anavuna alochopanda yy aliasisi mfumo wa kushambulia kila mwenye fikra tofauti na yy(akiwa katibu mkuu)kwenye mitandao sasa vijana wake wamesahau wanamvua nguo na yy.viva dr
sijui kwann wanamuamini sana El? halaf cdm wamezoea siasa za upepo unaelekea wapi. mf kwenye uchaguz wa serikali za mitaa walitumia kete ya escrow wakadhani watachukua viti vya kutosha kumbe ndio kuishia 15%
waswahil wana msemo mvinyo ni ule ule tofauti ni chupa wao wanatuambia chupa ni ile ile tofauti ni mvinyo inaingia akilini? hawana siasa ambazo ni sustainable. hawana misingi leo hii wanasema tuiondoe ccm mengine baadae maana hiyo hawan malengo y maana ya kua upinzani km hata huwez simamia nini unapinga.
wako mbele kunukuu maneno mawili ya mwl mbona aliposema nipo ccm si sababu naipenda ila sababu sioni chama mbadala hawsemi? ukweli ni kwamba watanzani wengi hwaipendi ccm ila wanakosa chama mbadala ambacho kina malengo bayana ya kusimamia yale mabadiliko wanayoyataka ndo maana wanaendelea kukipa ushindi na hata mwaka huu watashinda tena kwa kishindo tu
wako wtu wanasema sijui TEC wanataka rais. mm siamin katika hilo mengi ana malengo yake ya kibiashara ambayo pia yamekua yakiiyumbisha chadema kwani hawafanyi ili kusimamia misingi yao ila kuangalia yy anasemaje. mfano ni swala la hawa ukawa kutoka bungeni kukataa kupitisha muswada wa mafuta naamani mengi alikua nyuma ya hii kitu kwa asilmia kubwa sana
MM poke hamna aliyesikia