Pendekezo la maboresho katika huduma ya kulipa kwa simu (M pesa na Tigo Pesa)

rich1

JF-Expert Member
Jul 31, 2015
2,967
3,189
Habari,

Leo napenda nitoe maoni yangu kwenye huduma ya lipa kwa simu upande wa tigo pesa na m-pesa.

Wafanye maboresho kidogo kwenye upande wa kuhamisha pesa kutoka kwenye lipa ya Tigo au M Pesa kwenda bank.

Tuna waomba waeke jina la mteja kabla pesa haijahama nia ni kupunguza uwezekano wa pesa kupotea.
 
Yan lipa kwa Tigo nawapenda sana, yani wakiweza kuweka jina la mteja basi.
 
Habari

Leo napenda nitoe maoni yangu kwenye huduma ya lipa kwa simu upande wa tigo pesa na m-pesa.

Wafanye maboresho kidogo kwenye upande wa kuhamisha pesa kutoka kwenye lipa ya tigo au mpesa kwenda bank.

Tuna waomba waeke jina la mteja kabla pesa haijahama nia ni kupunguza uwezekano wa pesa kupotea.
Unajua kitu gan kingine inabidi ufanye? Nenda pale playstore katoe maoni yako pale kwny reviews za watumiaji was app itachangia kuwafikia!
 
Nimeona kutoka kwenye lipa tigo kwenda nmb wanatoa jina la mteja kabla ya kutuma pesa kwa mteja,,,,,ila lipa tigo kwenda Crdb bank hawatoi jina la mteja kabla ya kutuma pesa.
 
Habari

Leo napenda nitoe maoni yangu kwenye huduma ya lipa kwa simu upande wa tigo pesa na m-pesa.

Wafanye maboresho kidogo kwenye upande wa kuhamisha pesa kutoka kwenye lipa ya tigo au mpesa kwenda bank.

Tuna waomba waeke jina la mteja kabla pesa haijahama nia ni kupunguza uwezekano wa pesa kupotea.
upande wa ada wameongeza na kutoa bure kwa wakala mwisho ni lak49999 ikizd unatozwa ada

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
 
Yan kama Tigo huduma za Lipa zimewashinda bora wazifute tuuu.... sasa mwisho kutoa shs 499999 ndo nn???
 
Habari

Leo napenda nitoe maoni yangu kwenye huduma ya lipa kwa simu upande wa tigo pesa na m-pesa.

Wafanye maboresho kidogo kwenye upande wa kuhamisha pesa kutoka kwenye lipa ya tigo au mpesa kwenda bank.

Tuna waomba waeke jina la mteja kabla pesa haijahama nia ni kupunguza uwezekano wa pesa kupotea.
Mum
 
Mm tigo kila siku wanatuma sms lain ya lipa sio ya uwakala.
 
Back
Top Bottom