rich1
JF-Expert Member
- Jul 31, 2015
- 2,967
- 3,189
Habari,
Leo napenda nitoe maoni yangu kwenye huduma ya lipa kwa simu upande wa tigo pesa na m-pesa.
Wafanye maboresho kidogo kwenye upande wa kuhamisha pesa kutoka kwenye lipa ya Tigo au M Pesa kwenda bank.
Tuna waomba waeke jina la mteja kabla pesa haijahama nia ni kupunguza uwezekano wa pesa kupotea.
Leo napenda nitoe maoni yangu kwenye huduma ya lipa kwa simu upande wa tigo pesa na m-pesa.
Wafanye maboresho kidogo kwenye upande wa kuhamisha pesa kutoka kwenye lipa ya Tigo au M Pesa kwenda bank.
Tuna waomba waeke jina la mteja kabla pesa haijahama nia ni kupunguza uwezekano wa pesa kupotea.