johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,532
- 141,334
Sijajua utaratibu ukoje ila natoa tu pendekezo kuwa ile korosho iliyorejeshwa kwa wakulima kwa kukosa sifa, basi wakulima hao waruhusiwe rasmi kuiuza kwa wanunuzi wowote ndani na nje ya nchi.
Heri nusu hasara japo inaumiza
Maendeleo hayana vyama!
Heri nusu hasara japo inaumiza
Maendeleo hayana vyama!