Pendekezo: Katika kila marasi watatu wa vipindi tofauti, moja awe mzanzibari, wengine wawe watanganyika wa makabila yasiyojirudia

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,028
Hili ni pendekezo kwa maoni yangu and i am open to be criticized.

Lengo la muungano lilikuwa ni ndoto ya Nyerere kufanya nchi zote za Africa ziungane iwe nchi moja, na hatua ya kwanza ilikuwa ni muungano na Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya kadri miaka ilivyoenda ikaonekana ni dhairi kabisa mambo yamekuwa mazito kutekeleza hio ndoto kuumganisha Afrika, lakini ikabidi muungano wa Tanganyika na Zanzibar uendelee.

Kwa sasa nadhani kuwepo na sheria inayoweka wazi, madaraka ya uraisi yawe yanapewa mara moja kwa wazanzibar katika vipindi vitatu.

Mifano

raundi ya kwanza...,..
Anaanza msukuma, mzaramo, anamalizia mzanzibar

Raundi ya pili.....
mnyakyusa, mkurya, anamalizia Mzanzibar

Raundi ya tatu......
mhaya, mchaga, anamalizia mzanzibar

Raundi ya nne.......
mdigo, mnyaturu, anamalizia mzanzibar


Piaa hii itumike katika ngazi za vyeo vya kwenye vyeo vizito vya jeshini, mahakamani, ukurugenzi, n.k
 
Hili ni pendekezo kwa maoni yangu and i am open to be criticized.

Lengo la muungano lilikuwa ni ndoto ya Nyerere kufanya nchi zote za Africa ziungane iwe nchi moja, na hatua ya kwanza ilikuwa ni muungano na Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya kadri miaka ilivyoenda ikaonekana ni dhairi kabisa mambo yamekuwa mazito kutekeleza hio ndoto kuumganisha Afrika, lakini ikabidi muungano wa Tanganyika na Zanzibar uendelee.

Kwa sasa nadhani kuwepo na sheria inayoweka wazi, madaraka ya uraisi yawe yanapewa mara moja kwa wazanzibar katika vipindi vitatu.

Mifano

raundi ya kwanza...,..
Anaanza msukuma, mzaramo, anamalizia mzanzibar

Raundi ya pili.....
mnyakyusa, mkurya, anamalizia Mzanzibar

Raundi ya tatu......
mhaya, mchaga, anamalizia mzanzibar

Raundi ya nne.......
mdigo, mnyaturu, anamalizia mzanzibar


Piaa hii itumike katika ngazi za vyeo vya kwenye vyeo vizito vya jeshini, mahakamani, ukurugenzi, n.k
Kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu na kwa kutambua kuwa kuwa zanzibar ina Rais wake na mawazir wake nje ya Muungano, basi itakuwa ni kila baada ya miaka 61 ndipo tuwe tunapata rais mzanzibari. Njia rahisi ilikuwa ni kufuta kabisa serikali ya Zanzibar, na kubaki na serikali moja tu ambamo raia wote wana haki sawa bila kujali wanatokea wapi; kama ambavyo wahaya leo walivyo na haki sawa huko Mtwara na kadhalika.
 
mwsho utataka akitoka muislamu aingie mkristu,akitoka mkatoliki aingie msabato, akitoka mwanamke aingie mwanaume, hayo mambo yapo kwenye zenye matatizo tu km lebanon au iraq, sisi tuko mbali sn atawale yeyote as long ni mtanzania watanzania wengi hatuangalian kwa makabila au jamii tunazotokea
 
Kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu na kwa kutambua kuwa kuwa zanzibar ina Rais wake na mawazir wake nje ya Muungano, basi itakuwa ni kila baada ya miaka 61 ndipo tuwe tunapata rais mzanzibari.
Mkuu Zanzibar ni "nchi", sio wilaya au mkoa unaopimwa kwa idadi ya watu.

Narudia tena ni "nchi", zanzibar kuwa semi autonomous state kusiwadanganye hata siku moja kujidanganya kwamba ni mkoa wa Tanganyika ambayo ilikufa siku ilipozaliwa Tanzania, Zanzibar ni nchi inayohitegemea lakini pia inaunda Tanzania
 
Mkuu Zanzibar ni "nchi", sio wilaya au mkoa unaopimwa kwa idadi ya watu.

Narudia tena ni "nchi", zanzibar kuwa semi autonomous state kusiwadanganye hata siku moja kujidanganya kwamba ni mkoa wa Tanganyika ambayo ilikufa siku ilipozaliwa Tanzania, Zanzibar ni nchi inayohitegemea lakini pia inaunda Tanzania
States zote Marekani ni semi-autonomous states, lakini hazina sheria zinazobagua raia kutoka state nyingine; yaani raia wote wa marekani wana haki sawa ndani ya state yoyote, na uchaguzi huwa hauangalii kuwa mtu katoka state gani. Mfano mzuri sana ni Senator Romney, alizaliwa Utah, lakini baba yake aalikuja kawa gavana wa Michigan, na yeye mwenyewe akawa gavana wa Massachusets, na akagombea urais wa marekani mara mbili, mwishowe akaishia kua Senator wa Utah. Kwetu sisi mnyamwezi wa Tabora siwezi kuingia kwenye baraza la wawakilishi zanzibar na wala siwezi kugombea urais wa zanzibar, kwa hiyo factor ya population ratio inakuwa ya muhimu zaidi kwa vile raia hawana haki sawa.
 
Kufuata makabila hapana,Kuna makabila mengine asili yao ni kuzurura tu, Leo kwa shangazi kesho kwa mjomba.
Akiwa rais ataende mpaka kubembea Ulaya,mkutano wa balozi atataka aende yeye.
Thubutu kufanya hayo makosa Tena.
 
Hili ni pendekezo kwa maoni yangu and i am open to be criticized.

Lengo la muungano lilikuwa ni ndoto ya Nyerere kufanya nchi zote za Africa ziungane iwe nchi moja, na hatua ya kwanza ilikuwa ni muungano na Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya kadri miaka ilivyoenda ikaonekana ni dhairi kabisa mambo yamekuwa mazito kutekeleza hio ndoto kuumganisha Afrika, lakini ikabidi muungano wa Tanganyika na Zanzibar uendelee.

Kwa sasa nadhani kuwepo na sheria inayoweka wazi, madaraka ya uraisi yawe yanapewa mara moja kwa wazanzibar katika vipindi vitatu.

Mifano

raundi ya kwanza...,..
Anaanza msukuma, mzaramo, anamalizia mzanzibar

Raundi ya pili.....
mnyakyusa, mkurya, anamalizia Mzanzibar

Raundi ya tatu......
mhaya, mchaga, anamalizia mzanzibar

Raundi ya nne.......
mdigo, mnyaturu, anamalizia mzanzibar


Piaa hii itumike katika ngazi za vyeo vya kwenye vyeo vizito vya jeshini, mahakamani, ukurugenzi, n.k
Professor Adolf Mkenda is a presidential material come 20.........
 
States zote Marekani ni semi-autonomous states, lakini hazina sheria zinazobagua raia kutoka state nyingine; yaani raia wote wa marekani wana haki sawa ndani ya state yoyote, na uchaguzi huwa hauangalii kuwa mtu katoka state gani. Mfano mzuri sana ni Senator Romney, alizaliwa Utah, lakini baba yake aalikuja kawa gavana wa Michigan, na yeye mwenyewe akawa gavana wa Massachusets, na akagombea urais wa marekani mara mbili, mwishowe akaishia kua Senator wa Utah. Kwetu sisi mnyamwezi wa Tabora siwezi kuingia kwenye baraza la wawakilishi zanzibar na wala siwezi kugombea urais wa zanzibar, kwa hiyo factor ya population ratio inakuwa ya muhimu zaidi kwa vile raia hawana haki sawa.
Nadhani kama no haki sawa basi yapendeza maraisi wapeane zam zam, muhula huu mtanganyika, muhula unaofata mzanzibari
 
Hili ni pendekezo kwa maoni yangu and i am open to be criticized.

Lengo la muungano lilikuwa ni ndoto ya Nyerere kufanya nchi zote za Africa ziungane iwe nchi moja, na hatua ya kwanza ilikuwa ni muungano na Zanzibar, lakini kwa bahati mbaya kadri miaka ilivyoenda ikaonekana ni dhairi kabisa mambo yamekuwa mazito kutekeleza hio ndoto kuumganisha Afrika, lakini ikabidi muungano wa Tanganyika na Zanzibar uendelee.

Kwa sasa nadhani kuwepo na sheria inayoweka wazi, madaraka ya uraisi yawe yanapewa mara moja kwa wazanzibar katika vipindi vitatu.

Mifano

raundi ya kwanza...,..
Anaanza msukuma, mzaramo, anamalizia mzanzibar

Raundi ya pili.....
mnyakyusa, mkurya, anamalizia Mzanzibar

Raundi ya tatu......
mhaya, mchaga, anamalizia mzanzibar

Raundi ya nne.......
mdigo, mnyaturu, anamalizia mzanzibar


Piaa hii itumike katika ngazi za vyeo vya kwenye vyeo vizito vya jeshini, mahakamani, ukurugenzi, n.k
Asante mzanzibar..
 
Kwa kufuata uwiano wa idadi ya watu na kwa kutambua kuwa kuwa zanzibar ina Rais wake na mawazir wake nje ya Muungano, basi itakuwa ni kila baada ya miaka 61 ndipo tuwe tunapata rais mzanzibari. Njia rahisi ilikuwa ni kufuta kabisa serikali ya Zanzibar, na kubaki na serikali moja tu ambamo raia wote wana haki sawa bila kujali wanatokea wapi; kama ambavyo wahaya leo walivyo na haki sawa huko Mtwara na kadhalika.

Tatizo kubwa la watanganyika wanataka muungano, ila hawataki kuongozwa na mzanzibari 😂😂😂
 
raundi ya kwanza...,..
Anaanza msukuma, mzaramo, anamalizia mzanzibar

Raundi ya pili.....
mnyakyusa, mkurya, anamalizia Mzanzibar

Raundi ya tatu......
mhaya, mchaga, anamalizia mzanzibar

Raundi ya nne.......
mdigo, mnyaturu, anamalizia mzanzibar
Upo sahihi,
ila ukitaka kuona Madhara ya mfumo huu unao upendekeza,
Sikiliza ile hotuba ya Nyerere 1995, alielezea vizuri sana mkuu..
 
Mkuu Zanzibar ni "nchi", sio wilaya au mkoa unaopimwa kwa idadi ya watu.

Narudia tena ni "nchi", zanzibar kuwa semi autonomous state kusiwadanganye hata siku moja kujidanganya kwamba ni mkoa wa Tanganyika ambayo ilikufa siku ilipozaliwa Tanzania, Zanzibar ni nchi inayohitegemea lakini pia inaunda Tanzania
Nchi tegemezi.
 
Back
Top Bottom