Fukuza Fukuza viongozi na wanachama ktk chadema sio ufumbuzi wa kutatua matatizo ya migogoro ndani ya chama.
Mimi sikubaliani na kitendo cha kuwafukuza wanachama au kuwavua uongozi wale wote wanao onekana kwa jamii ya chadema kuwa ni sehemu ya tatizo.
Nina sababu kuu mbili
1. Ninaamini kuwa wengiwao huwa wana fanya makosa kwa sababu ya kutojuwa utaratibu, sababu wengi wa viongozi ni wachanga kisiasa pia hawajui vema maadili ya uongozi sasa jukumu la kuwafundisha utaratibu wa uongozi ni la chama taifa kwa kupeleka utaratibu wa mafunzo kwa viongozi na wanachama.
2. Viongozi wengi na madiwani wengi wamejiunga chadema baada ya kukatwa na ccm katka kura za maoni za vyama walivyo toka sasa tukawapokea bila kuwapa mafunzo yeyote tukawa simamisha kugombea baada kuwa madiwani au viongozi hatukuwasomesha ukada wala kujua miiko ya uongozi au uwakirishi sasa wanapo kosea BAKORA YA KUWAADHIBU ISIWE KUFUKUZA.
Kufukuza hakuondowi tatizo bali kuna tengeneza maadui pia sio njia mzuri kufukuzana hivyo viongozi watumie njia nyingine
Mimi sikubaliani na kitendo cha kuwafukuza wanachama au kuwavua uongozi wale wote wanao onekana kwa jamii ya chadema kuwa ni sehemu ya tatizo.
Nina sababu kuu mbili
1. Ninaamini kuwa wengiwao huwa wana fanya makosa kwa sababu ya kutojuwa utaratibu, sababu wengi wa viongozi ni wachanga kisiasa pia hawajui vema maadili ya uongozi sasa jukumu la kuwafundisha utaratibu wa uongozi ni la chama taifa kwa kupeleka utaratibu wa mafunzo kwa viongozi na wanachama.
2. Viongozi wengi na madiwani wengi wamejiunga chadema baada ya kukatwa na ccm katka kura za maoni za vyama walivyo toka sasa tukawapokea bila kuwapa mafunzo yeyote tukawa simamisha kugombea baada kuwa madiwani au viongozi hatukuwasomesha ukada wala kujua miiko ya uongozi au uwakirishi sasa wanapo kosea BAKORA YA KUWAADHIBU ISIWE KUFUKUZA.
Kufukuza hakuondowi tatizo bali kuna tengeneza maadui pia sio njia mzuri kufukuzana hivyo viongozi watumie njia nyingine