Bramo
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 13,160
- 10,007
Mshaanza kumkana mungu wenu wa ChattleEti 'Falsafa' za Magufuli
Ma Rais wa Tanzania waliokuwa ni wana Falsafa ni Julius Nyerere na Benjamin Mkapa pekee
Mshaanza kumkana mungu wenu wa ChattleEti 'Falsafa' za Magufuli
Ma Rais wa Tanzania waliokuwa ni wana Falsafa ni Julius Nyerere na Benjamin Mkapa pekee
Hebu Mfuate alipo halafu utupe update ya Namna anavyoongoza Malaika kwanzaSalamu kwa wanaJF.
Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.
Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.
Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.
Michango ya kuonesha soliderity iende huku.
Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.
Mshaanza kumkana mungu wenu wa Chattle
Kwanini sii uzalendo fund,keanu yenyewe imeshaanza kufanya kazi.Salamu kwa wanaJF.
Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.
Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.
Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.
Michango ya kuonesha soliderity iende huku.
Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.
Tuweke +ve mtufanye kingugaindugaiTusiweke negative attitude mkuu
Huyo katili dikteta mkitaja jina lake wengine tunakosa amaniSalamu kwa wanaJF.
Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.
Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.
Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.
Michango ya kuonesha soliderity iende huku.
Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.
Wakati tunaanzisha mfuko huo pia katika Kila mradi tuweke picha ya AKWILINA,BEN SANANE,AZORY GWANDA,SIMON KINGUYE ili tumuenzi ipasavyo.Salamu kwa wanaJF.
Nina pendekezo la namna ya kumuenzi Hayati Rais John Pombe Magufuli tukizingatia huduma aliyoitoa katika kuendeleza miundombinu nchini Tanzania.
Ni vyema ukaanzishwa mfuko wa uchangiaji fedha ambazo zitagharamia ujenzi wa miundombinu mbalimbali haswa ya Madarasa,Vituo vya Afya na barabara.
Wapenzi na wafuasi wa kazi na falsafa za Magufuli waweze kuchangia katika mfuko huo.
Michango ya kuonesha soliderity iende huku.
Fedha za mfuko huo zitumike kuboresha miundombinu ya huduma.
Naomba kuwasilisha kwa unyenyekevu.