kirikou1
JF-Expert Member
- Nov 8, 2016
- 4,802
- 6,468
"Kamati za ulinzi na usalama ziongozwe na JWTZ na DSO awe katibu"Ulinzi na usalama ni kazi ya watu gani?
Kwenye nchi zinazoendeshwa kiraia, mwenye mamlaka ya mwisho eneo la kiutawala ni mwanasiasa otherwise iwe kama Burma