mageuzi1992
JF-Expert Member
- Apr 9, 2010
- 2,503
- 252
i wish picture hii itoke front page ya gazeti... Kuelezea hali halisi....
muhimbili wodi ya mwaisela!
i wish picture hii itoke front page ya gazeti... Kuelezea hali halisi....
Mambo ya ajabu sana inasikitisha na kushangaza watu wanaweza fanya upuuzi wa namna hii, pole zake huyo Dr.kutokana na habari tunazozipata inaonekana kwa namna moja au nyingine serikali imehusika na tukio hili.... walikuwa wanajua wameshamuua kumbe mzima kwa hiyo napendekeza huyo dr apelekwe kutibiwa nje ya nchi kwa usalama wake ...kuepusha madhara ya kupewa sumu na hawa mafia