kwani lazima apewe kitu,si anaweza tuu kuwa uraiyani afanye mambo yake mengine akisubiri labda kama kuna uchunguzi flan hivDr Mpango na Doto James wamehudumu pale Hazina kama Waziri na Katibu mkuu respectively kwa takribani miaka 6.
Huo ni muda mrefu na kwa bahati Dkt. Mpango ameteuliwa kuwa Makamu wa Rais.
Mnaonaje kama Katibu mkuu Dotto James akapewa kifuta jasho cha ubunge ili kupisha damu mpya?
Kila kitabu na zama zake.
Maendeleo hayana vyama!