Dr. Abass kaamua kumjaribu mama waziwazi... Ngoja tuone!!Tunaona mitangaoni wale wafaidika wa awamu dhuluma iliyopita.
Hawataki kukubali kuwa Mama Samia ndio Commander in Chief.
Wengi wana pinga wazi wazi mabadiliko chanya ambayo mheshimiwa Rais anayafanya.
Hapa pasiwe na muhali.
Tujue kuwa Mheshimiwa Mama Samia anaungwa mkono na wengi na mabadiliko anayofanya ni muhimu kwa uchumi wetu.
Wengi wanaopinga ni wale walifaidika kuwatisha wananchi na kuwaibia wafanyabiashara.
Mama Samia inabidi awapige chini before its too late.
Wengine kama Abbas aliyekuwa msemaji wa Serikali, wanadiriki kupinga matamko ya Rais na kueleza wanayoyayafahamu wao.
Mh Rais piga chini hao Kabla hawajafikia critical mass.
Kasi yake huiwezijuhudi gani tena jamani si kaanza juzi tu?
Dr Abasi bado anatumia template ya zamani, mtu mmoja mstue huko adowlod template mpya lasivyo atazinguliwa maana mama anawalia timing, kuwaondoa wote kwa wakati mmoja kungeleta shida kidogo lakin kumuondoa mmoja mmoja baada ya kumzingua mama hakuna shidaNgoja tuone.
PhD inaposhindwa kutafsiri maana ya vyombo vya habari.
PhD inasema gazeti siyo chombo cha habari.
PhD inambishia Rais ambaye ni taasisi.
PhD inachanganya itikadi na maswala ya kiserikali.
Ngoja tuone.
Ukinizingua Nakuzingua!
Dhamira ya mama inahusisha only hivyo vichannel? Haimake sense hata kidogo. Anataka uhuru wa habari.Wengi mna mihemko, mama Samia hakuzungumzia magazeti. Dr.abbas yupo sahihi, rudia tena kusikiliza alichosema mama samia
una akili kupita woteWengi mna mihemko, mama Samia hakuzungumzia magazeti. Dr.abbas yupo sahihi, rudia tena kusikiliza alichosema mama samia
maigizo yale mzee.Kasi yake huiwezi
Amepania kumkwamisha Rais HassanDr Abbas anaipunguza speech ya rais katika tafsiri anayoitaka yeye. Rais kasema vyombo vya habari yeye anasema online TV tu.
Huu ni ukaidi
Nakubaliana nawe...kama agizo pekee ni kutoka kwenye hotubaTunaona mitangaoni wale wafaidika wa awamu dhuluma iliyopita.
Hawataki kukubali kuwa Mama Samia ndio Commander in Chief.
Wengi wana pinga wazi wazi mabadiliko chanya ambayo mheshimiwa Rais anayafanya.
Hapa pasiwe na muhali.
Tujue kuwa Mheshimiwa Mama Samia anaungwa mkono na wengi na mabadiliko anayofanya ni muhimu kwa uchumi wetu.
Wengi wanaopinga ni wale walifaidika kuwatisha wananchi na kuwaibia wafanyabiashara.
Mama Samia inabidi awapige chini before its too late.
Wengine kama Abbas aliyekuwa msemaji wa Serikali, wanadiriki kupinga matamko ya Rais na kueleza wanayoyayafahamu wao.
Mh Rais piga chini hao Kabla hawajafikia critical mass.