Mi napendekeza wamsimamishe Jusephine Mushumbushi au Rose Kamili ili iwe rahisi kwa Katibu Mkuu wao kuwanadi
hii thread nilianzisha nilikuwa nimepiga kiroba, nilikuwa nawapima watu akili, loh! mwendawazimu amekuja kuifufudua chumbani...Party leaeders wa CDM bado wako kwenye kuanika tofauti zao ndani na nje ya chama
Wakimaliza hapo ndio wakubali kufanya kazi kama team moja, na kurudisha imani kwa wanachama
wamalize hapo, wapate mgombea mmoja atakae gombea uraisi kwa tiketi yao, na wamsupport wote
wamalize hapo waanze ku-convince vyama vingine vya upinzani kuhusu mgombea wao. muda uko wapi?
By then CCM imesha jipanga nyuma ya mtu mmoja na wote wanamsupport huyo huyo.
Kazi ya chama sio ku-entertain the public with your family affair sagga (soap opera)
Kazi ya chama ni ku-take power and run the country! Chadema bado sana (maybe 2020)
Kwa mtazamo wangu mimi Chadema wamesha shindwa uchaguzi wa 2015! Kubali kataa
Chama cha upinzani chenye kujiheshim kinge tumia muda huu kujenga strong party coalition
Then wakisha rule miaka tano au kumi, ndio wajipange kuleta mwanamke sasa
maana TZ nayo haijawa tayari kwa mgombea mwanamke
BrazilHakuna chama chochote nchini chenye Mwanamke anayeweza kuwa Mh.Rais.Ukidodosa wasifu wa kinamama viongozi utashikwa na kichaa
.